Hoteli ya NASHERA imejiharibia?

Hoteli ya NASHERA imejiharibia?

Hotel hiyo inaonekana usalama si wa kuaminika. Iweje dirisha livunjwe na vitu kuchukuliwa halafu anakuja kugundua mwenyewe mteja badala ya walinzi. Ina maana hawafanyi patrol usiku hao walinzi??????????
 
Hotel hiyo inaonekana usalama si wa kuaminika. Iweje dirisha livunjwe na vitu kuchukuliwa halafu anakuja kugundua mwenyewe mteja badala ya walinzi. Ina maana hawafanyi patrol usiku hao walinzi??????????

Kahaba alikwiba kisha ndn akavunja dirisha ili kuzuga. We unadhani kwa nini mwivi hakuvunja dirisha la chumba kingine?
 
Kahaba alikwiba kisha ndn akavunja dirisha ili kuzuga. We unadhani kwa nini mwivi hakuvunja dirisha la chumba kingine?

Dirisha halikuvunjwa bana........nionyeshe wapi pamevunjwa?

WAZIRI+MALIMA+KWENYE+KANZU..JPG
 
wenye hotel wangeelza ukweli ingeliwasaidia sana otherwise imekula kwao.Picha za ndani na madirisha zinaonyesha hoteli yenyewe bado ya kishamba sana.

Walisha sema ukweli waseme ukweli mara ngapi?
Walisema waziri alikuja na dada mrefu mweupe kajazia jazia makalio aka mpododo
 
Kama ni kweli kikundi cha majambazi/wezi kiliweza kuingia kwenye hoteli yenye hadhi kubwa kama Nashera na kuweza kumuibia Naibu Waziri maswali mengi yameachwa juu ya hoteli hiyo. Maelezo yote ambayo yametolewa hadi hivi sasa yanaionesha hoteli kwenye mwanga mbaya zaidi kuliko hata Malima. Think about it. Nadhani Hoteli itabidi ijisafishe tu kwa kueleza vya ukweli kwani watu wengine mashuhuri wanaweza kuhofia sana kwenda hapo sasa...

Lakini pia inaonekana hoteli haina SOP za kuonesha wafanyakazi wanatakiwa washughulikie vipi matatizo ya wateja. Inawezekana Malima kaenda kuripoti wizi kwenye front desk (kitu ambacho pia kinachangaza kwani ningeassume angempigia moja kwa moja meneja wa hoteli) na wale vijana wa FD walipopiga simu kwa meneja wakati huo huo waka sms marafiki zao "aisee Malima kachapwa hapa". Maana nasikia taarifa za Malima kuibiwa zilikuwa zimeenea kwa watu wengi kabla hazijaandikwa magazetini for at least 24 hours.

Je, wafanyakazi wanapotoa taarifa za ndani kama hizo yawezekana ni kwa sababu hawajali ajira zao au hata taswira ya hoteli yao? au hawana hisia kuwa ni "hoteli yao"?


Mkuu nadhani umewahi kuitembelea hii hotel. Kwa kweli sio hotel hii, guest house. Wametumia tu udhaifu wa watanzania kuamini kuwa kila cha bei ya juu kina ubora. Bei zao za vyumba zinazoenda hado laki 4, bei za vinywaji (bia ya kiTz sh 3000), bei za vyakula (buffet sh 80,000) nk haireflect ubora wa huduma za hotel ile.

Sishangai watu kuibiwa pale maana pamekaa ovyo ovyo. Hawana fence ya maana, wamezungukwa kwa karibu sana na vichaka vichaka vya mashamba ya magereza mabwawa machafu ya samaki. Hoteli ipo mita zisizozidi 25 kutoka barabarani, so kuna makelele na moshi wa magari. Wana vijiukumbi vya sherehe na almost kila jioni kuna shamrashamra za matarumbeta ya kichten party, send-off na maharusi na vyote vipo kwenye face moja na vyumba vya kulala wageni. Parking ipo peupe karibu na barabara na ukipata utaona magari yote yaliyopaki hadi namba unaweza kuzisoma, na mbaya zaidi hakuna miti wala paa na masaa yote magari yanapigwa jua.

To me, Nashera has never been a respected place.
 
Nashera does not belong to Mamvi. It belongs to Mpare mmoja.
Nadhani hili siyo tukio la kwanza la wizi. Inaelekea imeshatokea mara kadhaa lkn siyo kwa high profile guests.
 
Kama ni kweli kikundi cha majambazi/wezi kiliweza kuingia kwenye hoteli yenye hadhi kubwa kama Nashera na kuweza kumuibia Naibu Waziri maswali mengi yameachwa juu ya hoteli hiyo. Maelezo yote ambayo yametolewa hadi hivi sasa yanaionesha hoteli kwenye mwanga mbaya zaidi kuliko hata Malima. Think about it. Nadhani Hoteli itabidi ijisafishe tu kwa kueleza vya ukweli kwani watu wengine mashuhuri wanaweza kuhofia sana kwenda hapo sasa...

Lakini pia inaonekana hoteli haina SOP za kuonesha wafanyakazi wanatakiwa washughulikie vipi matatizo ya wateja. Inawezekana Malima kaenda kuripoti wizi kwenye front desk (kitu ambacho pia kinachangaza kwani ningeassume angempigia moja kwa moja meneja wa hoteli) na wale vijana wa FD walipopiga simu kwa meneja wakati huo huo waka sms marafiki zao "aisee Malima kachapwa hapa". Maana nasikia taarifa za Malima kuibiwa zilikuwa zimeenea kwa watu wengi kabla hazijaandikwa magazetini for at least 24 hours.

Je, wafanyakazi wanapotoa taarifa za ndani kama hizo yawezekana ni kwa sababu hawajali ajira zao au hata taswira ya hoteli yao? au hawana hisia kuwa ni "hoteli yao"?

Kaka kujadili hii issue ni kupoteza muda wako tu.

1. Hotel inatumia walinz wa yule aliepelekewa mtoto mahakamani, yule jamaa nasikia alikuwa mafia wa visu vya kaf, alafu akastaafu nimemsahau jina.
2. Tetesi X 2 ni kuwa Hotel ni ya White hair.
3. Ile hotel ina CCTV full makila kitu yaani ni ya kimataifa sasa we umeshawahi kuona wamesema wamepata mkanda uliorekodi tukio?

Wanajua wenyewe kaka kwani.

1. Malima kapigwa na demu. Aibu kuripot receiption kwan watu hajui mazingira yaliyokuwepo baaada ya kupigwa.
2. Kwa vile wafanyakazi na meneja anajua ndio maana unaona issue haina nguvu.
3. Polisi walisemaje kwenye riport yao?

Hahahahahahahahahahah. Supervisor nibadilishie muhudumu tafadhali.

Nawasilisha.
 
There is no such thing as bad publicity except your own obituary.Kwa mantiki hiyo wanachotakiwa kufanya hawa Nashera ni kuboresha a thing or two kwenye suala la security na much more kwenye core business yao and the whole thing might turn out to be a blessing in disguise.
Kwa hapa kwetu Bongo watu hawako sensitive sana na mambo kama haya, 'safety and discretion(if it even exist najua kuna secrecy tu) are not top priorities kibongobongo a good meal and nice facilities might wipe all the stains' kumbuka hata suala la seatbelts ni mbinde kuanzia kwenye usafiri wa umma na mpaka usafiri wa binafsi
Mfano:
Kumbuka pia jengo la NASACO(zamani) ambalo kwa sasa linaitwa Waterfront House,liliungua vibaya to the ground, lakini halikuwa demolished na kujengwa upya bali likawa renovated kiaina(yale machuma ya yellow na red yanavutia macho kwelikweli) na leo top companies & businesses zimepanga pale na ikasahaulika kama liliungua au kunaweza kuwa na madhara yanayoweza kuletwa na kule kuungua kwa awali.(watu wa architecture watakuwa wanaelewa vizuri hili suala)
Kwa hiyo kuna watu wenye pesa zao na vyeo vyao watataka wakalale au kula Nashera out of curiosity and being able to tell people 'nililala au kula pale alipoibiwa Malima siku hizi wameboresha huduma zao saaaana'.
Trust me it is possible to play with people's minds(especially ignorant ones) if you know the right cards to throw on the table.
 
Hii nchi inaendeshwa hovyo hovyo kiasi kwamba wana siasa wanakuwa na nguvu kuliko biashara. Najua wamiliki wa hotel wanalazimika kuwa wapole kwakuwa hata eneo la hotel walipora ardhi ya jeshi la magereza na chuo cha LITI. Mi kama ukimwaga mboga tunamwaga ugali. But mwisho wa siku watu wasio na hatia, walalahoi wanaadhibiwa na kuteswa kucover uovu wa wana siasa na zinaa zao

Nadhani ni wakati sasa Mama Tibaijuka kufuatilia uhalali wa Hotel ile kuwepo ktk kiwanja cha serikali wakati ni Hotel ya mtu binafsi,

maana sisi wa pangu pakavu tukijenga ktk viwanja vya serikali wanakuja kwa kasi na kuvunja,vipi ile hotel kuwepo ktk kiwanja ambacho dhahili shahili ni cha SERIKALI?

mama tibaijuka kazi unayo tena hilo lipo wazi kabisaa hakuna asiye elewa hilo
 
Yawezekana kabisa utawala wa hotel umelazimishwa/kushirikishwa kuuaminisha umma juu ya hayo anayoyasema malima na "mawakala" wake. Na meneja wa hotel ni mkenya. Akatae halafu...?

Kutokana na mazingira yote ya tukio lenyewe, bado najishawishi kuwa NW kaibiwa na "mwanamke mrefu mweupe, umbo la kitusi, chini mnene juu mwembamba".
 
Ikitokea ikathibitika kuwa ukweli ulipindishwa na Meneja wa hoteli kwa kumsafisha Malima. Hoteli ichukue hatua za haraka kumfukuza huyo meneja mkenya ambaye ameweka maslahi yake mbele badala ya hoteli yenye hadhi kama Nashera.
Taarifa za awali za meneja zilisema kuwa Malima aliingia hotelini akiwa na mwanamke mrefu mweupe. lakini cha ajabu baadaye aligeuza maneno yake kwa maelekezo kuwa mwizi alivunja dirisha la chumba alicholala Malima.
Tunashindwa kujua ukweli ni upi hapa. Pia upelelezi wa awali uligundua uvunjaji wa dirisha lile ulifanyika kwa ndani. pia kuna taarifa zisizorasmi ambazo zinasema kuwa nyayo peku zilizokutwa chumbani zinashabihiana na nyayo za Malima mwenyewe.
Kazi ipo!
 
Hii nchi inaendeshwa hovyo hovyo kiasi kwamba wana siasa wanakuwa na nguvu kuliko biashara. Najua wamiliki wa hotel wanalazimika kuwa wapole kwakuwa hata eneo la hotel walipora ardhi ya jeshi la magereza na chuo cha LITI. Mi kama ukimwaga mboga tunamwaga ugali. But mwisho wa siku watu wasio na hatia, walalahoi wanaadhibiwa na kuteswa kucover uovu wa wana siasa na zinaa zao

nchi hii bwana..yaani issue ni usalama wa hoteli watu mnaanza kuongela mambo ya land iliporwa sijui magereza mara sijui mwaga mboga ugali ,,,aaaaghhh yaleyale ya Jk unaulizwa mambo ya uchumi DAVOS unajibu urefu wa barabara wakati wa uhuru na hand to mouth agriculture....
 
Kama ni kweli kikundi cha majambazi/wezi kiliweza kuingia kwenye hoteli yenye hadhi kubwa kama Nashera na kuweza kumuibia Naibu Waziri maswali mengi yameachwa juu ya hoteli hiyo. Maelezo yote ambayo yametolewa hadi hivi sasa yanaionesha hoteli kwenye mwanga mbaya zaidi kuliko hata Malima. Think about it. Nadhani Hoteli itabidi ijisafishe tu kwa kueleza vya ukweli kwani watu wengine mashuhuri wanaweza kuhofia sana kwenda hapo sasa...

Lakini pia inaonekana hoteli haina SOP za kuonesha wafanyakazi wanatakiwa washughulikie vipi matatizo ya wateja. Inawezekana Malima kaenda kuripoti wizi kwenye front desk (kitu ambacho pia kinashangaza kwani ningeassume angempigia moja kwa moja meneja wa hoteli) na wale vijana wa FD walipopiga simu kwa meneja wakati huo huo waka sms marafiki zao "aisee Malima kachapwa hapa". Maana nasikia taarifa za Malima kuibiwa zilikuwa zimeenea kwa watu wengi kabla hazijaandikwa magazetini for at least 24 hours.

Je, wafanyakazi wanapotoa taarifa za ndani kama hizo yawezekana ni kwa sababu hawajali ajira zao au hata taswira ya hoteli yao? au hawana hisia kuwa ni "hoteli yao"?


Kaka hata mimi namfikiria sana yule jamaa mmiliki wa hoteli hii ambaye sio Lowassa kama wazushi wanavyodai. Hii ni mbaya sana katika biashara yake ingawa ukweli ni kuwa kwa wanaotaka malazi ya hadhi ya hali ya juu ni ngumu kukwepa Nashera ukiwa Morogoro. Lakini pia kuna uwezekano mkubwa kuwa waliotoa taarifa ni polisi kwani siku hizi ndio kawaida...

Ndio nchi yetu hii ....madaktari wanatundika habari za wagonjwa wao mitandaooni, wafanyakazi wa benki hawana stori isipokuwa utajiri na madeni ya watu mjini, Mawakili ndio usiseme na siri na maslahi ya wateja wao....Polisi ndio hivyo tena

Mbaya zaidi tunaenda kukusanya taarifa za watanzania wote - NATIONAL IDENTIFICATION Project huku tukiwa hatuna sheria za kulinda taarifa na SIRI ZA WATU
 
Hakuna chochote kilichoharibika kwenye hoteli ile, wanaotumia hoteli ya sh 400,000 ni wale wale, na wanaoujua ukweli pia ni walewale na wanafahamu kuwa hoteli ile ipo safe, sioni kilichoharibika kwa kuwa mlalahoi hawezi kukaa kwenye hoteli kama ile.
 
Mkuu mwanakijiji, nakubaliana na wewe, ni kweli kwamba mwenye hotel au hotel yenyewe itakuwa imejipotezea creadibility mbele ya wateja wake, kumbuka pia hotel hii ina kamera za CCTV, bila shaka yeyote anayepita kwenye korido za hotel hiyo wanaweza tu ku down load hizo picha na kujua nani alimwibia muheshimia.

Lakini sasa, issue yenyewe ukiichunga vizuri ni kama mweshimiwa alikuwa anaisaliti ndoa yake hizi, kuna mtu humu ali comment kwamba Adam aliamua kuchezea mewata za mteja wake, ma CD wendi hupaka dawa za usingizi hapo kwenye mewata then mkuu akapitiwa na usingizi mzito, so wenye hotel wakitoa picha tu maana huyu CD aseme alimwibia vipi, ndoa ya Malima itakuwepo tena hapo, so nadhani wenye hotel wanao uwezo wa ku disclose information but wamefungwa mdomo.
 
Hili suala limeharibu sana credibility ya hoteli. Hapo mahali inaonekana ni hatari sana.
Uongozi zingatienieni ushauri, jitokezeni msafishe jina la Hotel yenu.
Elezeni kilichotokea kwa ufasaha wateja warudishe imani.
Kukaa kwenu kimya mtapoteza wateja kwa miaka mingi ijayo.
Jitokezeni muokoe biashara yenu. Hizi ni nyakati za ushindani na mambo kama haya yanatia toa na kuwarudisha nyuma.
 
Back
Top Bottom