Hoteli ya Mt. Meru yawekwa Sokoni

Hoteli ya Mt. Meru yawekwa Sokoni

edu88

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2009
Posts
692
Reaction score
516
Wawekezaji wanakaribishwa kuchangamkia nafasi ya kununua hoteli ya Mt. Meru iliyoko mkoani Arusha.
042c6afc0a31bfb138274c6c055610d1.jpg
 
Msiwe Na akili Za panzi!! Yaani hotel ikiuzwa ndio uchumi unaanguka??
 
kawaida tu. wapangaji wangapi wamepita royal palm? kilimanjaro hotel?
 
Yaani tulipofika, hoteli yoyote ikiuzwa analaumiwa Magufuli
 
Sasa mmiliki wa M.meru ni nani? Na mmiliki kwann aiuze kama hana shida na hela?

Sababu ya kuuza anajua mwenyewe. Kuhusu mmiliki ni nani we nenda BRELA utapata taarifa zote.
 
Duuuu.......kuna watu wameshikiliwa AKILI !
Anatoka na mada ambayo kwa ufinyu wa akili yake anaona ina mashiko ,kumbe siyo lolote ni sawa na pumba tu.

Changanua jambo kwanza kabla ya kulisambaza,usije onekana KILAZA
 
Aya wajuaji wa mambo tujuzeni.wengi tutakos kaz maunti meru hotel daaa ntaimis pale Tanganyika jiko la nje kweny pizza NA baga.Mkulu x alisema atawalinda waliomtangulia hii ya hotel imekaaje
 
Hadi ninapojiandaa kuchangia uzi huu kuna new member mmoja, member wawili na senior member mmoja.... kati yao kuna aloiba jina la mchawi mshana jr
 
Back
Top Bottom