Hata kuandika hauwezi ndio utafahamu bei za hotels mkuuFicha upumbavu wako, Mwanza anapata hotel kwa bei hizo na hata Taxi hapa bei powa kabisa utadhani kunachimbwa mafutwa.
Punguzeni kuropoka kwa msiyoyajuwa.
Can't help but wonder if you are genetically pre-disposed to ask such ignorance exposing questions or is it that you just don't know any better!!!Ok, kama ulilala hapo jana kwa bei hii nieleze ni chumba gani hiki?
Note nimeshalala vyumba vya level zote hapo La kairo, tel me.
Kuna moja inaitwa MAHAHA HOTEL...Hapo nilishawahi kulala kwa tsh 7,000/Eeeh hiyo ndo itamfaa sana huyo mchovu maana mtu mwenyewe anasema mradi pawe na meza na kiti tu vitu vingine siyo hitaji lake! Hapo Mahaha atapata kiti na meza safi tu!! Au aende pale Busigasolwe!!
Nyumbani haipogo bana, asithubu kwenda gold crest na 30000 yake bora aliyemshauri aende Pentagon, iko city centre, rwagasole streetNenda gold crest utapata room za 30,000 au nyumbani pale sio mbaya
Yani hata Lodge hapati hahaTzs 20,000 - 30,000, wewe hutafuti hotel, unatafuta guest house.
Mkuu mtu anatafuta ya elfu 20 wewe unamwelekeza La Kairo? Huyu ni wa kuelekeza Christmas tree, Isamo, Lamada and the like!!
Matola mzazi duh we kiboko umelala vyumba vyote vile hamsini na kitu! Haya chief nisiwe mbishi sana ila kwa kifupi tu ndo kama nilivyokueleza nimelala chumba cha elfu 45Ok, kama ulilala hapo jana kwa bei hii nieleze ni chumba gani hiki?
Note nimeshalala vyumba vya level zote hapo La kairo, tel me.
Ahsante Mkuu.Nenda VICTORIA ANNEX HOTEL chumba ni 25000 kwa siku ila hakuna breakfast wala lunch ila unafuliwa na kunyoshewa nguo lipo jijini hapo Nyamagana karbu na stendi ya Nyakato
Division Five mna shida sana, ndio maana mnaferi sana mitihani, ni wapi niliposema nimelala vyumba vyoye zaidi ya 50?Matola mzazi duh we kiboko umelala vyumba vyote vile hamsini na kitu! Haya chief nisiwe mbishi sana ila kwa kifupi tu ndo kama nilivyokueleza nimelala chumba cha elfu 45 View attachment 400400View attachment 400401
Hotel kwa 20,000/= - 30,000/=??? Labda kama ni Guest housesHabari,
Ndugu zangu, Kwa wenye uzoefu na Hoteli za Jijini Mwanza naomba msaada wenu wa kujua hoteli nzuri, safi na yenye ulinzi jijini Mwanza. Breakfast na Chakula siyo muhimu kwangu.
Gharama isiwe zaidi ya 30,000 TZS kwa siku. Pia kwenye vyumba ni muhimu kuwe na kiti pamoja na meza nzuri ya kuweza kufanyia kazi kwenye Laptop na hata kuandikia. TV pia sio muhimu sana lakini kama ipo, then hakuna shida.
Cha msingi ni usalama, usafi, maji ya moto kwa ajili ya kuogea, kiti, meza nzuri na isiwe nje ya Mji.
Natanguliza shukrani.
Acheni dharau wakati nyinyi si watu wa kusafiri na ukisafiri mkoa unafikia kwa shemeji au mjomba ndio maana hujui hata bajeti.Hotel kwa 20,000/= - 30,000/=??? Labda kama ni Guest houses