MchunguZI
JF-Expert Member
- Jun 14, 2008
- 4,038
- 2,224
Naona mzee huyu Ufisadi hawezi kuacha.
Pitapita yangu ilinifikisha mjini Morogoro.
Kwa wenyeji nilipita njia ya Boma road kuelekea kwa mkuu wa mkoa. Kushoto ktk iliyokuwa bustani ya matunda ya LITI, nilikuta majengo makubwa kabisa yakijengwa.
Bila kutegemea niliambiwa ni Hotel ya Lowasa inayojengwa ktk eneo la taasisi ya serikali!
Sijui kama kuna sheria inayoruhusu mtu binafsi kupewa miliki ya viwanja vya serikali lakini hapo imewezekana na taarifa nilizopata, JK anajua na mkuu wa mkoa aliyeko Tanga sasa hivi bw. Said Kalembo alisaidia sana juu ya kutolewa kwa eneo hilo na viongozi wa LITI kulazimishwa kushuhudia kwa maandishi kwamba eneo hilo ni mzigo kwao!
Pamoja na ufisadi, naanza kutia mashaka juu ya ubora wa akili ya mtu huyu, maana hata kibaka mtaani akizomewa huonyesha uso wa aibu. HUYU VIPI!
Pitapita yangu ilinifikisha mjini Morogoro.
Kwa wenyeji nilipita njia ya Boma road kuelekea kwa mkuu wa mkoa. Kushoto ktk iliyokuwa bustani ya matunda ya LITI, nilikuta majengo makubwa kabisa yakijengwa.
Bila kutegemea niliambiwa ni Hotel ya Lowasa inayojengwa ktk eneo la taasisi ya serikali!
Sijui kama kuna sheria inayoruhusu mtu binafsi kupewa miliki ya viwanja vya serikali lakini hapo imewezekana na taarifa nilizopata, JK anajua na mkuu wa mkoa aliyeko Tanga sasa hivi bw. Said Kalembo alisaidia sana juu ya kutolewa kwa eneo hilo na viongozi wa LITI kulazimishwa kushuhudia kwa maandishi kwamba eneo hilo ni mzigo kwao!
Pamoja na ufisadi, naanza kutia mashaka juu ya ubora wa akili ya mtu huyu, maana hata kibaka mtaani akizomewa huonyesha uso wa aibu. HUYU VIPI!