Hawa jamaa waliambiwa siku nyingi kuwa wamevunja sheria kwa kujenga uzio kwenye road reserve sasa kuonesha jeuri ya pesa yao na kutaka kuwatisha waliowapa tahadhali hiyo ndio wakaja na mbinu ya kumualika Rais ili aje afungue hiyo hotel kuhalalisha makosa yao!! Wamevunjiwa kwa uhalali kabisa ili liwe fundisho kwa wakola wengi wanaojenga hovyo hovyo mijini!