Hoteli iliyozunduliwa na JK yavunjwa!

Hawa jamaa waliambiwa siku nyingi kuwa wamevunja sheria kwa kujenga uzio kwenye road reserve sasa kuonesha jeuri ya pesa yao na kutaka kuwatisha waliowapa tahadhali hiyo ndio wakaja na mbinu ya kumualika Rais ili aje afungue hiyo hotel kuhalalisha makosa yao!! Wamevunjiwa kwa uhalali kabisa ili liwe fundisho kwa wakola wengi wanaojenga hovyo hovyo mijini!

Sasa kama ndo hivyo watu wanalalamikia nini wakati wanajua sheria ni msumeno inakula mbele na nyuma!
 
Sasa kama ndo hivyo watu wanalalamikia nini wakati wanajua sheria ni msumeno inakula mbele na nyuma!

Hayo umeyaona wewe. Hebu fikiri ingelikuwa ni hotel ya shemeji au kaka au mjomba au ...... ungelitaka kuuwa watu hapa. Ukipenda, chongo utasema Kengeza.

Wewe unayesema WALIPWE, nchi zanye sheria ni yeye alitakiwa kuwalipa POLISI na TANROADS yaani kwa ufupi ATULIPE SISI WALIPA KODI kwa kutuletea gharama za kijinga kwenda kubomoa kwake.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom