Mkuu humu JF hakuna mafisadi, bali ni wale tu tuliopigika kwa sera za ccm. Sasa hiyo dola milioni 3.5 tutazitoa wapi? Unaonaje ukajaribu kutoa tangazo lako kwenye kikao cha baraza la mawaziri? Nina hakika hapo wateja ni kedekede.
Mkuu humu JF hakuna mafisadi, bali ni wale tu tuliopigika kwa sera za ccm. Sasa hiyo dola milioni 3.5 tutazitoa wapi? Unaonaje ukajaribu kutoa tangazo lako kwenye kikao cha baraza la mawaziri? Nina hakika hapo wateja ni kedekede.