Other is kingswey hotel.
- Antique Legacy Hotel - Start Relaxing Your Soul and Enjoy Your Stay.
- Flomi Hotel - www.flomihotel.co.tz
- Tex Palace Hotel -
Nashera hotel
Nimekumbuka Nashera walipomuibia kaka Malima (RC wa mkoa wa Mara) hadi pete ya harusi. hahahahahahha. Lakini cha ajabu hawakuchukua bastola yake. hahahahahahahahahahhaNashera Hotel Comes First. You Won't Regret.
Hii Kali. Sijawahi Sikia.Nimekumbuka Nashera walipomuibia kaka Malima (RC wa mkoa wa Mara) hadi pete ya harusi. hahahahahahha. Lakini cha ajabu hawakuchukua bastola yake. hahahahahahahahahahha
Mbona walitangaza sana kwenye vyombo vya habari!!!!!!Hii Kali. Sijawahi Sikia.
Nilipitwa Bhasi. By The Way Hii Habari Itamuogopesha Mdau Ashindwe Kwenda Nashera Hotel.Mbona walitangaza sana kwenye vyombo vya habari!!!!!!
Na mie nimempa kama tahadhari, ili awe makini na "wadada" watakao mkarimu. hahahahahNilipitwa Bhasi. By The Way Hii Habari Itamuogopesha Mdau Ashindwe Kwenda Nashera Hotel.
Ha Ha Ha. Kumbe Wadada Wakarimu Ndo Mafia. Nimemkumbuka Samson Na Delilah.Na mie nimempa kama tahadhari, ili awe makini na "wadada" watakao mkarimu. hahahahah