Hotel ya bei ndogo Arusha

Hotel ya bei ndogo Arusha

MZIBHAZI

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
520
Reaction score
139
Wakuuu habari leo naelekea Arusha ipi hotel ya bei ndogo wakuuu hapo Arusha ijsyozidi alfu hamsini kwa siku au chini ya hapo??naomba msaada na ukilala unapewa rist ya malipo yako??
 
shuka mianzin 2... upande wa kushoto nimesahau jina lake....ni kigorofa elf 30
 
ukifika standArusha ulizia Joshmali hotel au AM hotel au Aqwilini hotel,,, zote hizo ni hotel za bei rahisi na haziko mbali na maeneo ya stand hivo huitaji usafiri wa kufika kwenye hizo hotel, Watu Arusha ni waungwana watakuelekeza vizuri tu.
 
ukifika standArusha ulizia Joshmali hotel au AM hotel au Aqwilini hotel,,, zote hizo ni hotel za bei rahisi na haziko mbali na maeneo ya stand hivo huitaji usafiri wa kufika kwenye hizo hotel, Watu Arusha ni waungwana watakuelekeza vizuri tu.

Asante boss ngoja nikifika nitaulizia
 
Kwa kuanzia...kaangalie Mick Rest House. Ipo karibu stendi ya Dar Express na pia karibu na msikiti Masjid Kuba. Bei 25000 na 30000.

Kama sio Mujahidin simshauri alale karibu na hapo maana jamaa saa9 alfajiri wanaanza kutoa vitisho km huendi kusali....chumba ulicholala ndio kaburi lako...shuka ulilojifunika ndio sanda yako...!
 
!
!
anauezijua za kati ya 5000 hadi 15000 anishtue tafadhali. Sina haja na risiti wala nini, pawe kimya choo kisafi basi. Vingine home ninavyo so, sio inshu.
 
Meru House Inn 30000 self contained rooms bed and breakfast... Receipt utapata.

Sokoine Road. Near Meru Posta
 
ukifika standArusha ulizia Joshmali hotel au AM hotel au Aqwilini hotel,,, zote hizo ni hotel za bei rahisi na haziko mbali na maeneo ya stand hivo huitaji usafiri wa kufika kwenye hizo hotel, Watu Arusha ni waungwana watakuelekeza vizuri tu.

Hapo AM pako poa. Ni karibu na stendi ya mabasi na huduma nyingine. Na inamilikiwa na AM mwenyewe.
 
Kama sio Mujahidin simshauri alale karibu na hapo maana jamaa saa9 alfajiri wanaanza kutoa vitisho km huendi kusali....chumba ulicholala ndio kaburi lako...shuka ulilojifunika ndio sanda yako...!

Laaa salale jf ni rubudani tosha
 
Nenda Natron,@ room-45000/=.risit unapewa,na unaweza lala ghorofa ya 9 ukaangalia view ya Arusha kwa pande zote
 
Kama sio Mujahidin simshauri alale karibu na hapo maana jamaa saa9 alfajiri wanaanza kutoa vitisho km huendi kusali....chumba ulicholala ndio kaburi lako...shuka ulilojifunika ndio sanda yako...!

Hahahahaha inabidi nikifika nikae bar ya karibu nipate moja ya moto moja ya baridi ili nikilala nisisikie vitisho vyao
 
Back
Top Bottom