Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,409
- Thread starter
- #41
Sawa kwa kuelewaSawa nimekuelewa.
Sawa kwa kuelewaSawa nimekuelewa.
Wapi huko mnapika mamyJaribu sasa, ukikosa uje huku kwenye kazi za kupika, hamna kuangalia mvuto.
😀😀😀😀😀 hujambo kwanza??Ila wewe ID ya zamani jaribu. Mimi nimefungua mpya kanichomolea.
Sawa nimeachaWacha hizooooo![]()
Dar dear.Wapi huko mnapika mamy
Sijambo , hebu nijibu ombi langu kwenye id yangu mpya usinitese hivyo.hujambo kwanza??
NitakutafutaDar dear.
Hebu niache hukoooo🤣🤣🤣🤣Sijambo , hebu nijibu ombi langu kwenye id yangu mpya usinitese hivyo.
Unaangaliaje personality ya mtu kwa hapa kwa kuangalia id ya zamani na ya sasa..hio personality hamuwez kuiona huko wakati wa interview ukiuliza maswali ..mtu amejiunga leo au jana purposely kwa ajili ya kutafuta kazi na leo amekuta tangazo la kazi na ana vigezo lakin unamwambia njoo na id yako ya zamani.. what's this!!Mkuu, nina story ndefu sana na funzo kubwa kuhusu hizi ID, kwenye uajiri knowledge yako tu is not all that we are looking for! We also want to know who you are as a person, and these IDs tell a lot.
By the way, I said priorities tu na haimaanishi kwamba huna basic requirements halafu tukupe nafasi only because ID yako ni ya zamani.
Mkuu nahitaji nafasi hiyo namba yangu ni 0719230712NimekuPM mkuu
Dah Mirzska! Siku haijaisha mkuu... Aaah come on dah siku inaisha saa sita usiku?! Au UN wameweka mfumo mpya?Ndugu zangu, deadline ya kutuma maombi imepita.
We will work into the applications we have received and contact those who have applied accordingly.
Ahsanteni kwa ushirikiano wenu
Mkuu me nlidhani siku ya kazi inaisha saa tisa na nusu mchana, I didn't know siku ya kazi inakwisha saa sita usiku😀😀Dah Mirzska! Siku haijaisha mkuu... Aaah come on dah siku inaisha saa sita usiku?! Au UN wameweka mfumo mpya?
Aiseee dah! 😔
Ukisema mwisho wa kutuma maombi ni siku flani maana yake huwa ni saa sita usiku iyo siku....kama unataka ku limit muda ndani ya hiyo siku lazima u specify muda kabisa mfano : mwisho wa kupokea maombi ni leo saa 12:30,or saa 16:30...but ukisema tu mwisho wa kupokea maombi ni leo maana yake ni saa sita usikuMkuu me nlidhani siku ya kazi inaisha saa tisa na nusu mchana, I didn't know siku ya kazi inakwisha saa sita usiku😀😀
😄😄Mkuu me nlidhani siku ya kazi inaisha saa tisa na nusu mchana, I didn't know siku ya kazi inakwisha saa sita usiku😀😀
SawaNitakutafuta
Sawa tubaniane tuu. Hawajambo.Hebu niache hukoooo
Anyway, hawajambo lakini??
Mkuu wa Geog umeamua kujiripua ukawe receptionist sio???Kama ni hivyo hakika utakuwa umeifanyia dhulmaa taaluma yako.Nipo tayari Mirzska!,
PM umefunga?!