Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,409
- Thread starter
- #21
NimekuPM mkuuDuh! Umewezaje?! Mimi naona inasema amelimit wakuangalia profile yake...
NimekuPM mkuuDuh! Umewezaje?! Mimi naona inasema amelimit wakuangalia profile yake...
Wewe unatuma kwenye namba yangu ya whatsapp🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣CV wapi inatumwa?
Wewe unatuma kwenye namba yangu ya whatsapp![]()

mimi tu? Niambie wanakotuma wote isije ikasahaulika😀😀😀😀😀 mfanyakazi wewe hatukutaki.mimi tu? Niambie wanakotuma wote isije ikasahaulika
mfanyakazi wewe hatukutaki.
Halafu Leo ni deadline ya kupokea maombi



hamnitaki kumbeWewe eeeeeehamnitaki kumbe
Wewe boss mzima nina uhakika hutaki hii kazi. Acha utani basiSawa![]()
Wewe boss mzima nina uhakika hutaki hii kazi. Acha utani basi
Sawa nimekuelewa.Mkuu, nina story ndefu sana na funzo kubwa kuhusu hizi ID, kwenye uajiri knowledge yako tu is not all that we are looking for! We also want to know who you are as a person, and these IDs tell a lot.
By the way, I said priorities tu na haimaanishi kwamba huna basic requirements halafu tukupe nafasi only because ID yako ni ya zamani.
Usije ukashtua watejaDaah nna uboss gani mie, sema mareceptionist mnatakaga wenye mvuto

Ila wewe ID ya zamani jaribuwateja watahama

. Mimi nimefungua mpya kanichomolea.Haha amesema sio kipaumbele lakiniIla wewe ID ya zamani jaribu. Mimi nimefungua mpya kanichomolea.
Kwani Priority na kipaumbele ni tofautiHaha amesema sio kipaumbele lakini

Haha mi sijui bwanaKwani Priority na kipaumbele ni tofauti![]()
Jaribu sasa, ukikosa uje huku kwenye kazi za kupika, hamna kuangalia mvutoHaha mi sijui bwana
.Wacha hizooooo😀😀😀😀Daah nna uboss gani mie, sema mareceptionist mnatakaga wenye mvuto