Hotel rceptionist anahitajika

Hotel rceptionist anahitajika

Relief Mirzska

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2017
Posts
13,976
Reaction score
22,409
Wadau,

Kwa ambae anahisi ana-qualify kuwa receptionist kwenye hotel iliyoko Zanzibar na mkaribisha PM.

Awe na uwezo wa kuzungumza kingereza kiufasaha, na awe na at least basic knowledge of computer.

Ukijua lugha mbili za kigeni ni added advantage.

Maendeleo hayana chama
 
Duh mkuu inaonekana una connection kubwa..ningekuwa karibu ningeihangaikia hata hii...mkulima hachagui jembe aisee
 
Wadau,

Kwa ambae anahisi ana-qualify kuwa receptionist kwenye hotel iliyoko Zanzibar na mkaribisha PM.

Awe na uwezo wa kuzungumza kingereza kiufasaha, na awe na at least basic knowledge of computer.

Ukijua lugha mbili za kigeni ni added advantage.

Maendeleo hayana chama
Mkuu umeshapata??
 
Hapana mkuu, sikurupuki! I will do this with utmost care. Na wale wanaotumia ID zao za zamani ntawapa priority kwa kweli. Maana kila anaekuja PM ana ID mpya
Kwanini priority kwa ID za Zamani? Nilitegemea kipaumbele kiwe ni kwa mtu anayekidhi vigezo haijalishi hata kama ID yake ni ya jana. Tofauti na hapo unatamani kujua nani ni Mmiliki wa ID Fulani.
Samahani lakini.
 
Kwanini priority kwa ID za Zamani? Nilitegemea kipaumbele kiwe ni kwa mtu anayekidhi vigezo haijalishi hata kama ID yake ni ya jana. Tofauti na hapo unatamani kujua nani ni Mmiliki wa ID Fulani.
Samahani lakini.
Humu ndani kuna mambo mengi..mtu haangalii sifa but ID na sijui kwa purpose ipi haswa au anataka nini in return
 
Kwanini priority kwa ID za Zamani? Nilitegemea kipaumbele kiwe ni kwa mtu anayekidhi vigezo haijalishi hata kama ID yake ni ya jana. Tofauti na hapo unatamani kujua nani ni Mmiliki wa ID Fulani.
Samahani lakini.
Mkuu, nina story ndefu sana na funzo kubwa kuhusu hizi ID, kwenye uajiri knowledge yako tu is not all that we are looking for! We also want to know who you are as a person, and these IDs tell a lot.

By the way, I said priorities tu na haimaanishi kwamba huna basic requirements halafu tukupe nafasi only because ID yako ni ya zamani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom