Wakuu mwenye Hotel,Lodge,Bungalow au aina yoyote ya biashara ya malazi kwa miji ifuatayo
Dar es Salaam
Pwani nikilenga bagamoyo
Arusha
Mwanza
Kilimanjaro
Note:Mlengwa anaehitaji ni Mzungu
Unaweza kuni PM,kuna mtu anahitaji ili nimtumie options zinazopatikana kulingana na maelezo hayo kama alivyonipa.