Jamani naombeni msaada kwa anaye juwa hotel ya bei rahisi hapa dar ataje hapa na bei yake.
Tafuta gesti
Unataka iwe maeneo gani Manzese, Tandale, Mburahati,Kigogo,M/nyamala,Buguruni,Vingunguti au temeke?!!
MAPROSOO.
Ha ha haah!! Inahitajika ufafanuzi hapa..Bei rahisi kwa kulala,chakula au kuinunua?
Siku hizi kuna gest nzuri sana huku.
Njoo hapa big braza, ipo moja mpya very classy, bei 10,000
Hakuna chabo wala udokozi
Ukijidai kwenda sinza, ondoa namnani maana hii ni ya wenyeji kabisa