kyalankota
JF-Expert Member
- Jul 27, 2014
- 2,594
- 1,463
Mkulu angekuwa hajajitoa tweeter ilikuwa kazi rahisi, tungemtweet hii mambo angeitupa nanyumbuuuuu
Ndio nani tumjue?
Tusidharau taasisi kiasi hicho jamani...
Tusidharau taasisi kiasi hicho jamani...
Members only...huyo amepotea mtaa
Nataman kumjibu lakn nahisi kajitoa ufahamu tu anajifanya hajui
Haijadharauliwa mkuu, yaani hapo ndio imemwagiwa misifa haswaaa,
Mkuu huyu ana kila vigezo vya kuwa waziri wa mambo ndani na mambo ya burudani kwani anaonyesha ni mchapa kazi haswaa........
Mkuu huyu ana kila vigezo vya kuwa waziri wa mambo ndani na mambo ya burudani kwani anaonyesha ni mchapa kazi haswaa........
Waziri wa starehe na utalii wa ndani ofisi ya prezdaa!