Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,998
- 103,387
Kama uko Dar, wewe kesho zurura tu bila kazi maalum. Ukikamatwa ndio utajua utapelekwa wapi ili ukitoka huko utupe first hand information.
Hapa Dar niko kabla ya Makonda, nimezaliwa na kukulia hapa hapa, natembea na kwenda popote bila ruhusa ya mtu yoyote. Tena hapa nilipo naona kama kesho inachelewa nione wa kunizuia.