Na hapa ndo tunatakiwa kuambiwa thamani maana yake ni nini?Sawa lakini hostel imewekwa Na fanicha Nyumba za kuishi hazijawekwa unasemaje?
Kwanza kabisa nitangulie kusema uzi huu si wa kupingana wala kui-challenge serikali yangu bali kuibua mjadala ambao utatusaidia kusimamia vema rasilimali za taifa. Sasa naomba kuanzia hapa;
Hostel za UDSM
Naambiwa yapo majengo 20 kila jengo lina ghorofa 4 na gharama yake ni 10bn
Ukichukua majengo 20 X kwa ghorofa 4 utapata ghorofa 80 (floors) ambazo zimetumia 10bn.
Maghorofa ya Magomeni;
Naambiwa yapo majengo 5 kila jengo lina ghorofa 8 hadi 9 na gharama yake ni 20bn. Tufanye wastani wa ghorofa 9 kwa zote.
Ukichukua majengo 5 X kwa ghorofa 9 utapata ghorofa 45 (floors) ambazo zimetumia 20bn
Sasa pale Magomeni kuna shida. Yafaa kuunda tume kuokoa pesa ya taifa maana Jografia ya Dar ni ile ile iweje wametumia pesa nyingi vile?
Naomba changia kwa weledi, usimtukane mtu, usimtukane Kiongozi yeyote maana ni kosa kisheria. Weka point tujifunze usiweke tusi!
... Hostel wanaishi nani kama si watu? Au wanafunzi si watu?Nyumba za watu kuishi ramani yake haiwezi kufanana na HOSTEL
Is that all?Ila ubishi mwingine!!!!!!
This is too much!
Magomeni ni nyumba za kuishi familia.
UDSM ni hostel zile
... Taratiiibuu kitaanza kueleweka, niliwahi kusema kuhusu hii issue kwamba kwa uzoefu wangu hapa JF tutapata wachangiaji ambao wamehusika kwenye huo ujenzi.Acheni kuhamisha magoli mimi nilipata kazi flan pale HOSTEL pale ...imetumika zaidi ya 10Bl na wanamadeni kwa Supplier wenyewe wanakili walifanya Siasa ili wapewe majengo mengi na wameahidi watakuwa wanaongeza ..Bajeti ili kufidia majanga ya Hostel
Hili nalo kweli linahitaji degree kufahamu utofauti uliopo kati ya hostel na apartments? Hebu tuache masikhara bwana,, hosteli nyingi unaweza kukuta chumba kimoja tu kinakatiza upana wa ghorofa zima lakini kwenye apartments unakuta kuna vyumba vya kulala, sebule, dinning, vyoo, bafu, jiko na stoo; sasa yote haya unataka yalingane gharama na hostel? Kweli? Kikubwa angeuliza kwanza ukubwa wa hayo majengo na kama ramani zake zinafanana! Mimi nasema gharama ya Magomeni iko sawa!!... It's unfortunate kwamba mpaka sasa ninachokiona kwenye hii post ni matusi na mapovu tuu, bado hamjampa jibu mleta mada kwa nini kuna hiyo tofauti ya bei kimahesabu?
Ndugu yangu unakoelekea utakuja kuuliza kwanini Ujenzi wa Kanisa ni gharama ndogo kuliko HOTEL ya Kulala wageni... Hostel wanaishi nani kama si watu? Au wanafunzi si watu?
Mzee kwa kutumia Idadi ya Ghorofa huwezi kulinganishe BeiKwanza kabisa nitangulie kusema uzi huu si wa kupingana wala kui-challenge serikali yangu bali kuibua mjadala ambao utatusaidia kusimamia vema rasilimali za taifa. Sasa naomba kuanzia hapa;
Hostel za UDSM
Naambiwa yapo majengo 20 kila jengo lina ghorofa 4 na gharama yake ni 10bn
Ukichukua majengo 20 X kwa ghorofa 4 utapata ghorofa 80 (floors) ambazo zimetumia 10bn.
Maghorofa ya Magomeni;
Naambiwa yapo majengo 5 kila jengo lina ghorofa 8 hadi 9 na gharama yake ni 20bn. Tufanye wastani wa ghorofa 9 kwa zote.
Ukichukua majengo 5 X kwa ghorofa 9 utapata ghorofa 45 (floors) ambazo zimetumia 20bn
Sasa pale Magomeni kuna shida. Yafaa kuunda tume kuokoa pesa ya taifa maana Jografia ya Dar ni ile ile iweje wametumia pesa nyingi vile?
Naomba changia kwa weledi, usimtukane mtu, usimtukane Kiongozi yeyote maana ni kosa kisheria. Weka point tujifunze usiweke tusi!
Kwanza kabisa nitangulie kusema uzi huu si wa kupingana wala kui-challenge serikali yangu bali kuibua mjadala ambao utatusaidia kusimamia vema rasilimali za taifa. Sasa naomba kuanzia hapa;
Hostel za UDSM
Naambiwa yapo majengo 20 kila jengo lina ghorofa 4 na gharama yake ni 10bn
Ukichukua majengo 20 X kwa ghorofa 4 utapata ghorofa 80 (floors) ambazo zimetumia 10bn.
Maghorofa ya Magomeni;
Naambiwa yapo majengo 5 kila jengo lina ghorofa 8 hadi 9 na gharama yake ni 20bn. Tufanye wastani wa ghorofa 9 kwa zote.
Ukichukua majengo 5 X kwa ghorofa 9 utapata ghorofa 45 (floors) ambazo zimetumia 20bn
Sasa pale Magomeni kuna shida. Yafaa kuunda tume kuokoa pesa ya taifa maana Jografia ya Dar ni ile ile iweje wametumia pesa nyingi vile?
Naomba changia kwa weledi, usimtukane mtu, usimtukane Kiongozi yeyote maana ni kosa kisheria. Weka point tujifunze usiweke tusi!
Natamani kujua serikali inahusisha institutions zipiNyumba ya kuishi inamakolokoli mengi. Hostel ni nyumba tu. Afu pale chuo vitu vingine vimelipwa na Chuo..furnitures ni za chuo. Pale magomeni vyote vitalipwa naserikali. Nyumba ya kuishi inahitaji vitu vingi mno..hata vyumba vyake sio bwalo kama za histel
Demolition ilishafanyika siyo part ya contract hii!Cost za construction huwa hazipigwi hivyo kama unafanya biashara ya mayai. Site ya udsm ilikua new but ya magomeni kota inainvolve demolition of existing structures na kujenga mpya
PointNyumba za watu kuishi ramani yake haiwezi kufanana na HOSTEL
Mkuu hii umetoa wapi?....Hoja yako nzuri ila mie nadhani gharama inatofautiana kutokana na malengo na matumizi ya jengo husika, UDSM ni hostel kwa ajili ya kuwahifadhi watu kwa ajili ya malengo maalumu hivyo vitu vingi vinakuwa vimejengwa kwa ajili ya matumizi ya public tofauti na magomeni ambapo nyumba zile ni kwa ajili ya familia hivyo kila kinachowekwa pale ni kwa ajili ya familia hivyo kunakuwa na nyongeza za hapa na pale kwa kila idara yaani maji, sijui umeme na mambo mengine kila nyumba / apartment inajitegemea wakati UDSM wanaweza wakasema floor hii inatumia mita moja ya umeme..n.k
Ngoja wataalamu waje maana mie nimetoa maoni "in lay man perspective"