Crocozilla
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 469
- 335
Kwanza kabisa nitangulie kusema uzi huu si wa kupingana wala kui-challenge serikali yangu bali kuibua mjadala ambao utatusaidia kusimamia vema rasilimali za taifa. Sasa naomba kuanzia hapa;
Hostel za UDSM
Naambiwa yapo majengo 20 kila jengo lina ghorofa 4 na gharama yake ni 10bn
Ukichukua majengo 20 X kwa ghorofa 4 utapata ghorofa 80 (floors) ambazo zimetumia 10bn.
Maghorofa ya Magomeni;
Naambiwa yapo majengo 5 kila jengo lina ghorofa 8 hadi 9 na gharama yake ni 20bn. Tufanye wastani wa ghorofa 9 kwa zote.
Ukichukua majengo 5 X kwa ghorofa 9 utapata ghorofa 45 (floors) ambazo zimetumia 20bn
Sasa pale Magomeni kuna shida. Yafaa kuunda tume kuokoa pesa ya taifa maana Jografia ya Dar ni ile ile iweje wametumia pesa nyingi vile?
Naomba changia kwa weledi, usimtukane mtu, usimtukane Kiongozi yeyote maana ni kosa kisheria. Weka point tujifunze usiweke tusi!
Hostel za UDSM
Naambiwa yapo majengo 20 kila jengo lina ghorofa 4 na gharama yake ni 10bn
Ukichukua majengo 20 X kwa ghorofa 4 utapata ghorofa 80 (floors) ambazo zimetumia 10bn.
Maghorofa ya Magomeni;
Naambiwa yapo majengo 5 kila jengo lina ghorofa 8 hadi 9 na gharama yake ni 20bn. Tufanye wastani wa ghorofa 9 kwa zote.
Ukichukua majengo 5 X kwa ghorofa 9 utapata ghorofa 45 (floors) ambazo zimetumia 20bn
Sasa pale Magomeni kuna shida. Yafaa kuunda tume kuokoa pesa ya taifa maana Jografia ya Dar ni ile ile iweje wametumia pesa nyingi vile?
Naomba changia kwa weledi, usimtukane mtu, usimtukane Kiongozi yeyote maana ni kosa kisheria. Weka point tujifunze usiweke tusi!