Hostel za udsm vs Ghorofa za Magomeni

Hostel za udsm vs Ghorofa za Magomeni

Crocozilla

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
469
Reaction score
335
Kwanza kabisa nitangulie kusema uzi huu si wa kupingana wala kui-challenge serikali yangu bali kuibua mjadala ambao utatusaidia kusimamia vema rasilimali za taifa. Sasa naomba kuanzia hapa;

Hostel za UDSM
Naambiwa yapo majengo 20 kila jengo lina ghorofa 4 na gharama yake ni 10bn

Ukichukua majengo 20 X kwa ghorofa 4 utapata ghorofa 80 (floors) ambazo zimetumia 10bn.

Maghorofa ya Magomeni;
Naambiwa yapo majengo 5 kila jengo lina ghorofa 8 hadi 9 na gharama yake ni 20bn. Tufanye wastani wa ghorofa 9 kwa zote.

Ukichukua majengo 5 X kwa ghorofa 9 utapata ghorofa 45 (floors) ambazo zimetumia 20bn

Sasa pale Magomeni kuna shida. Yafaa kuunda tume kuokoa pesa ya taifa maana Jografia ya Dar ni ile ile iweje wametumia pesa nyingi vile?

Naomba changia kwa weledi, usimtukane mtu, usimtukane Kiongozi yeyote maana ni kosa kisheria. Weka point tujifunze usiweke tusi!
 
Kwanza kabisa nitangulie kusema uzi huu si wa kupingana wala kui-challenge serikali yangu bali kuibua mjadala ambao utatusaidia kusimamia vema rasilimali za taifa. Sasa naomba kuanzia hapa;

Hostel za UDSM
Naambiwa yapo majengo 20 kila jengo lina ghorofa 4 na gharama yake ni 10bn

Ukichukua majengo 20 X kwa ghorofa 4 utapata ghorofa 80 (floors) ambazo zimetumia 10bn.

Maghorofa ya Magomeni;
Naambiwa yapo majengo 5 kila jengo lina ghorofa 8 hadi 9 na gharama yake ni 20bn. Tufanye wastani wa ghorofa 9 kwa zote.

Ukichukua majengo 5 X kwa ghorofa 9 utapata ghorofa 45 (floors) ambazo zimetumia 20bn

Sasa pale Magomeni kuna shida. Yafaa kuunda tume kuokoa pesa ya taifa maana Jografia ya Dar ni ile ile iweje wametumia pesa nyingi vile?

Naomba changia kwa weledi, usimtukane mtu, usimtukane Kiongozi yeyote maana ni kosa kisheria. Weka point tujifunze usiweke tusi!
Nyumba za watu kuishi ramani yake haiwezi kufanana na HOSTEL
 
Yawezekana ya UDSM yapo chini ya kiwango!!! Magomeni yakawa yametumia gharama stahiki
 
Nyumba ya kuishi inamakolokoli mengi. Hostel ni nyumba tu. Afu pale chuo vitu vingine vimelipwa na Chuo..furnitures ni za chuo. Pale magomeni vyote vitalipwa naserikali. Nyumba ya kuishi inahitaji vitu vingi mno..hata vyumba vyake sio bwalo kama za histel
 
Waacheni wafu wazikane.
Sisi tunachotaka majengo yaishe wananchi wa pale wapate pa kukaa tena bure kwa miaka 5
 
Nyumba yakuishi n.a. hostel haziwez fanana. ..sio kila unachokiona ni sawa
 
tujadili nini dereva ni mmoja nchi hii, never waste time let him go
 
Ila ubishi mwingine!!!!!!

This is too much!

Magomeni ni nyumba za kuishi familia.

UDSM ni hostel zile
 
Kwanza kabisa nitangulie kusema uzi huu si wa kupingana wala kui-challenge serikali yangu bali kuibua mjadala ambao utatusaidia kusimamia vema rasilimali za taifa. Sasa naomba kuanzia hapa;

Hostel za UDSM
Naambiwa yapo majengo 20 kila jengo lina ghorofa 4 na gharama yake ni 10bn

Ukichukua majengo 20 X kwa ghorofa 4 utapata ghorofa 80 (floors) ambazo zimetumia 10bn.

Maghorofa ya Magomeni;
Naambiwa yapo majengo 5 kila jengo lina ghorofa 8 hadi 9 na gharama yake ni 20bn. Tufanye wastani wa ghorofa 9 kwa zote.

Ukichukua majengo 5 X kwa ghorofa 9 utapata ghorofa 45 (floors) ambazo zimetumia 20bn

Sasa pale Magomeni kuna shida. Yafaa kuunda tume kuokoa pesa ya taifa maana Jografia ya Dar ni ile ile iweje wametumia pesa nyingi vile?

Naomba changia kwa weledi, usimtukane mtu, usimtukane Kiongozi yeyote maana ni kosa kisheria. Weka point tujifunze usiweke tusi!
Wataalamu wa ujenzi ndio wanaweza jibu hili
 
Nyumba za watu kuishi ramani yake haiwezi kufanana na HOSTEL
Acheni kuhamisha magoli mimi nilipata kazi flan pale HOSTEL pale ...imetumika zaidi ya 10Bl na wanamadeni kwa Supplier wenyewe wanakili walifanya Siasa ili wapewe majengo mengi na wameahidi watakuwa wanaongeza ..Bajeti ili kufidia majanga ya Hostel
 
Nyumba ya kuishi inamakolokoli mengi. Hostel ni nyumba tu. Afu pale chuo vitu vingine vimelipwa na Chuo..furnitures ni za chuo. Pale magomeni vyote vitalipwa naserikali. Nyumba ya kuishi inahitaji vitu vingi mno..hata vyumba vyake sio bwalo kama za histel
Hakuna Furniture zilizolipiwa na Chuo kila kitu wanafanya TBA watakabidhiwa Chuo Hostel zilizokamilika na wanafunzi kuingia tu
 
Hostel za UDSM hata kipimo kidogo cha EARTHQUEAKS yanaanguka.. watu wamejenga kwa hofu moyoni..
Achana na Tetemeko....hizi hizi Mvua za Masika ziliporomosha Ukuta....kwenye Sehemu zakupita pembeni ya majengo zilititia ikabidi wafumue upya....nivile zile Site hawaruhusiwi waandishi wa Habari Ila kule ni majanga.....watu wanamshambulia Jamaa kwa vile wameona Majengo yamesimama tu
 
Back
Top Bottom