DOKEZO Hospitali za Serikali wanagoma kuwapa dawa wagonjwa wanaotumia bima za NHIF

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Salama tu mkuu hospitali yoyote inatakiwa iwe na duka la dawa kwa wagonjwa wa NHIF linalojitegemea ambalo haliingiliani na wagonjwa wanaolipia huduma kwa cash. Jambo kubwa toka tarehe 1.3.2024 kuna mabadiliko ya bei ya dawa kwa wagonjwa wa NHIF mfano Amoxclav adult dose kwa muda wa siku 7 hapo awali walilipa tsh 17500/= lakini sasa hivi ni tsh 6258/= vilevile dawa nyingi zimetolewa kwa wagonjwa wa NHIF so ukiziandika ujue umekula hasara. Serikali inabidi iwajibike kwa hili suala .
Habari ndugu wanaJamiiForums, Rejea kichwa cha mada chausika. Mimi nina mgonjwa hospitali ya wilaya mkoa wa Kagera, kila dawa tunayoandikiwa na daktari, tukienda famasi hawana.

Lakini wagonjwa wanaolipa cash wanapatiwa.

Tunaomba serikali itusaidie tutakufa wote.

Habari ndugu wanaJamiiForums, Rejea kichwa cha mada chausika. Mimi nina mgonjwa hospitali ya wilaya mkoa wa Kagera, kila dawa tunayoandikiwa na daktari, tukienda famasi hawana.

Lakini wagonjwa wanaolipa cash wanapatiwa.

Tunaomba serikali itusaidie tutakufa wote.
 
Kwanza nianze kumshukuru Mama Samia kwa kunipa huu wasaha wa kuchangia hii mada!
Ukweli usemwe usemwe na nitaendelea kusema wazi kuwa Mwl Ummy Mwalimu ameharibu, ameleta janga kubwa sana kwenye sekta ya afya kabisa …hakujawai kutokea tatizo kubwa kama hili kwenye bima ya Afya hapa Tanzania…!Ummy Mwalimu ameleta msimba msiba kwenye sekta ya Afya kama Rais hatoingilia kati hili swala la bima ya Afya ni wazi mateso haya na hospitali na sekta ya afya itaenda kupata anguko kubwa sana!

Sasa wafanyakazi wa serikali hawana tofauti na watu wasio fanya kazi kwenye swala la bima ya Afya…. Uwezi kusema uanaboresha huduma ya bima kwa kupunguza bei za dawa na kuondoa dawa badala ya kuongeza huduma na kuongeza mapato!

Ukweli ni kwamba kama watu wangepewa hasa wafanyakazi wangepewa chaguo la kutumia NHIF au lah …… ni wazi hakuna angechagua NHIF kwa sasa …NHIF ilionesha mwanga sana na ilikuwa kimbilio la wengi lakini kwa sasa imekuwa janga tena janga kuu la wazawa!

Toka Ummy amepewa hii wizara ameharibu kila kona na ni wazi tunakokwenda tutakuwa na janga linaloitwa NHIF!
Waziri Ummy Mwalimu anatolewa chambo/kafara kwenye hili. Maamuzi ya Ummy siyo yake binafsi bali haya mambo yalishajadiliwa kwenye ngazi ya Baraza la mawaziri ambalo raisi ni mwenyekiti.
Unataka kutuaminisha hz sarakasi kati ya Bima na hospital Raisi hazijui wala hajazisikia?
 
Serikali imesitisha huduma za NHIF kwa watoto kifurishi cha 50400 ,,

Kwa kwl wamefanya maamuzi ya hovyo ambayo hayajawahi kufanywa toka tanzania iumbwe..

Viongozi hawana huruma kwa watu wao wala hofu ya MUNGU...
-kitendo cha kueleza kwamba watoto watajiunga na bima ya afya ya NHIF kupitia mashuleni ni kichaka cha kujifichia lakini ukwl ni kwamba 90% ya shule za serikali hawana bima za NHIF..

Na hata hizo shule za private pia ni 10% tu ndy wenye bima,

Kama mtoto anaruhusiwa kujiunga na bima ya NHIF kupitia shule anayosoma kwa sh 50400/,,
Nini kinafanya serikali isitishe watoto kujiunga bila kupitia shuleni?sababu gharama atakazolipa shuleni ndy hizo hizo atakazolipa akiwa nje ya shule sh 50400/

Hata huko shuleni kuna kipengele cha watoto wakifika idadi ya 100 ndy wanaruhusiwa kujiunga na MHIF ,
Idadi hiyo ikiwa chini basi shule haina sifa ya kupata huduma ya NHIF..

Haya ni maamuzi ya hovyo ambayo hayajapata kutokea kwa watu wenye huruma na wanainchi wao..

Kama serikali umeamua kugeuza huduma ya afya kama chanzo cha mapato inapaswa ieleze wanainchi wake.
Hapo wametukataa kwa mlango wa nyuma.
Kiukweli hata Mimi binafsi naona 50400 kwa mwaka ni ndogo sana. Ila ilibidi kama wanaona hailipi waongeze kiasi cha mchango ila siyo kusitisha huduma na kuleta ujanja ujanja wa kupitia mashuleni
 
Huyu ummy mwalimu sijui kilitumika kigezo Gani Hadi kupewa uwaziri nyeti kama huu.
Ni mmama mweupe Sana kichwani .
Ni mjanja mjanjasana.
Mwingine ni mhagama.

KWAMBA HII NCHI HAMNA WATU SMART HADI TULETEWE AKINA UMMY KWELI!!
 
Hapo wametukataa kwa mlango wa nyuma.
Kiukweli hata Mimi binafsi naona 50400 kwa mwaka ni ndogo sana. Ila ilibidi kama wanaona hailipi waongeze kiasi cha mchango ila siyo kusitisha huduma na kuleta ujanja ujanja wa kupitia mashuleni
Kabisa mkuu,,nimefatilia sana wanasema option ya kwanza ni kufunguwa NHIF kupitia mashuleni,,
Lakini Shule 99% hawana bima yeyote..
Na lazima wanafunzi waliosajiliwa NHIF shuleni hapo wafike idadi kuanzia 100 ndy shule inaweza ikawa na sifa za kufungua bima ya NHIF,.,ni jambo ambalo haliwezekani.

Badala yake mmeweka kifurushi cha NHIF family ambayo ni sh 314,000 kwa mwaka..
Hivi kweli Watanzania wa hali ya chini wataweza kwl?

Atleast wangeweka hata sh 100,000 au sh 150,000 kwa mtoto lakini sio kuweka kima kikubwa kiasi hicho..314000 tz sh seriously?

Mbaya Zaidi hata ukiweza kulipia hicho kifurishi cha 314000 lakini bado unapaswa kununuwa baadhi ya dawa kwa cash na sio kutumia bima..

Africa kwann hatuna utu wala ubinaadamu?
Ikumbukwe kuwa watoto wadogo ni malaika wa MUNGU,,na ndy wahanga wakubwa sn wa magonjwa ya mara kwa mara...
Serikali mna malengo gani na watoto wetu sisi masikini?

Inasikitisha sn kwa kwl., serikali kugeuza kitengo cha bima ya afya kama chanzo cha mapato.
 
Kabisa mkuu,,nimefatilia sana wanasema option ya kwanza ni kufunguwa NHIF kupitia mashuleni,,
Lakini Shule 99% hawana bima yeyote..
Na lazima wanafunzi waliosajiliwa NHIF shuleni hapo wafike idadi kuanzia 100 ndy shule inaweza ikawa na sifa za kufungua bima ya NHIF,.,ni jambo ambalo haliwezekani.

Badala yake mmeweka kifurushi cha NHIF family ambayo ni sh 314,000 kwa mwaka..
Hivi kweli Watanzania wa hali ya chini wataweza kwl?

Atleast wangeweka hata sh 100,000 au sh 150,000 kwa mtoto lakini sio kuweka kima kikubwa kiasi hicho..314000 tz sh seriously?

Mbaya Zaidi hata ukiweza kulipia hicho kifurishi cha 314000 lakini bado unapaswa kununuwa baadhi ya dawa kwa cash na sio kutumia bima..

Africa kwann hatuna utu wala ubinaadamu?
Ikumbukwe kuwa watoto wadogo ni malaika wa MUNGU,,na ndy wahanga wakubwa sn wa magonjwa ya mara kwa mara...
Serikali mna malengo gani na watoto wetu sisi masikini?

Inasikitisha sn kwa kwl., serikali kugeuza kitengo cha bima ya afya kama chanzo
Nasikia bima za Afya zipo nyingi ,ni uhuru wako wa kuchagua ,achana na NHIF nenda strategy
 
Muwe mnapitia habari mbalimbali mitandaoni mbona muongozo ulitoka wa dawa ambazo hamtopata kwa Bima ila Cash.
Habari ndugu wanaJamiiForums, Rejea kichwa cha mada chausika. Mimi nina mgonjwa hospitali ya wilaya mkoa wa Kagera, kila dawa tunayoandikiwa na daktari, tukienda famasi hawana.

Lakini wagonjwa wanaolipa cash wanapatiwa.

Tunaomba serikali itusaidie tutakufa wote.
 
siku uoga ukiaisha ndio mtaanza kula meema ya hii nchi. Mbowe akisema tuandamane hata maandamaano ya amani hamtoki, kazi kuja kulia lia kwenye mitandao. Sikiliza hawa watawala sio wajinga walisha wasoma wakajua kwanza nyie ni waoga sana so haya yote wanayafanya wakiwa na ngao yao ambayo ni uoga wenu.
Wewe ulitoka kuandamana au unamlaumu nani?
 
Waziri Ummy Mwalimu anatolewa chambo/kafara kwenye hili. Maamuzi ya Ummy siyo yake binafsi bali haya mambo yalishajadiliwa kwenye ngazi ya Baraza la mawaziri ambalo raisi ni mwenyekiti.
Unataka kutuaminisha hz sarakasi kati ya Bima na hospital Raisi hazijui wala hajazisikia?
Unataka kusema mh rais ndio mwenye
shida?

Holy crap
 
Back
Top Bottom