Mr Chloramphenicol
Member
- Dec 22, 2023
- 17
- 21
Salama tu mkuu hospitali yoyote inatakiwa iwe na duka la dawa kwa wagonjwa wa NHIF linalojitegemea ambalo haliingiliani na wagonjwa wanaolipia huduma kwa cash. Jambo kubwa toka tarehe 1.3.2024 kuna mabadiliko ya bei ya dawa kwa wagonjwa wa NHIF mfano Amoxclav adult dose kwa muda wa siku 7 hapo awali walilipa tsh 17500/= lakini sasa hivi ni tsh 6258/= vilevile dawa nyingi zimetolewa kwa wagonjwa wa NHIF so ukiziandika ujue umekula hasara. Serikali inabidi iwajibike kwa hili suala .
Habari ndugu wanaJamiiForums, Rejea kichwa cha mada chausika. Mimi nina mgonjwa hospitali ya wilaya mkoa wa Kagera, kila dawa tunayoandikiwa na daktari, tukienda famasi hawana.
Lakini wagonjwa wanaolipa cash wanapatiwa.
Tunaomba serikali itusaidie tutakufa wote.
Habari ndugu wanaJamiiForums, Rejea kichwa cha mada chausika. Mimi nina mgonjwa hospitali ya wilaya mkoa wa Kagera, kila dawa tunayoandikiwa na daktari, tukienda famasi hawana.
Lakini wagonjwa wanaolipa cash wanapatiwa.
Tunaomba serikali itusaidie tutakufa wote.