Hospitali za mashirika ya dini hupata ruzuku - Waziri

ilitakiwa azitaje hizo hospitali, na ukute pia zipo hospitali hewa.
 
mkuu!
mfumo kristo umepitisha MOU wakati kwa waislam OIC inakataliwa, katika issue ya elimu tutapata vp elimu wakati NDALICHAKO katumwa na kanisa kuchinja waislam.
lete hoja usikurupuke.
narudia tena kwa style hii migogoro hii ya kidini haitaisha.
Be fair and truth malalamiko ya waislamu na ndalichako is about islamic studies ambao hata hivyo haya akaunt kwenye nyanja za kimaisha mfano ajira nakadhalika so hiyo haiwezi kuwa ni sababu ya msingi.Then waziri kawambwa naye Jk naye na Shein wote hawa wanakandamiza tu waislamu?So unataka kusema wale waliosoma na kuwa mpaka maprofesa hawakuchinjwa ilitokea nini?Emu tujadili mifumo yetu ya malezi na vipaumbele vya kimaisha je ni kweli mfumo wa malezi na mafundisho ya kiislamu yanamjenga muislamu kuwa mtu mwenye uwezo kielimu bila kuhitaji msaada?Je ni kweli kwamba elimu hii inathaminiwa na waumini wa kiislamu kama elimu ya dini?Maana nachoweza kuona ni kwamba ukristo ni sehemu ya maisha ya mkristo ila uislamu ni kila kitu kwa muislamu yaani uislamu kwanza mengine baadaye hivyo nategemea katika nyanja za elimu dunia muislamu hata acha kulalamika maana hata mkristo ingetokea nchi inaajiri kwa kigezo cha dini au uislamu bila shaka hapo ingeleta maana kwa waislamu maana inahitaji dini kwanza elimu dunia baadaye ila kwa huu mfumo uliopo inakuwa ngumu sana ndugu yangu kupata usawa kati ya wakristo na waislamu.Jadili Mkuu
 
Duu wakristo wanaifaidi nchi,waislam hakuna hata kidispensary!waislam wanapoungana kuing'oa bakwata ni sababu kama hizi
 
Hapo ni hospitali za kikristo tu. Aga Ghan haipewi bado inatoa huduma nzuri tu.

Gharama katika hizo hospitali zinazopewa ruzuku ni kubwa mno. Nilifanyiwa operation ya tumbo kwa tsh laki tano na thelathini nilikaa wiki moja hospitali Gharama kwa ujumla ikawa milioni 1 na laki 2 na elfu 49 .

Mzee wangu alifanyiwa operation kama yangu Amana Hospital yeye alikaa wiki 2 akalipa laki 3 na elfu 26 hapa ndio nikaona kodi zetu watanzania zimekuwa mtaji wa baadhi ya watu
Mkuu weka sawa kumbukumbu zako Umesahau James Mbatia alivyowajia juu Agha Khan pamoja na tax relief bado gharama zao ziko juu which implies iyo relief haina maana kwa Mtanzania
 
Wanaukumbi.

Serikali hutoa Sh36.7 bilioni kama ruzuku kwa hospital za mashirika ya dini nchini kila mwaka.

Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dr Seif Rashidi alisema fedha hizo zinatumika katika ulipaji mishahara, dawa, vifaa, vifaa tiba na vitendanishi.

Waziri alisema ruzuku hiyo ni tofauti na inaotolewa na halmashauri za wilaya, zenye hospitali za mashirika ya dini kutoka mfuko mkuu na mishahara ya watumishi walioshindikizwa hospitali hizo, vitu vya afya na zahanati.

Hospital za mashirika ya dini zinazopata ruzuku zipo 97.

My Take...

Pamoja na kupata ruzuku mbona hizo hospitali zinafanya biashara na huduma zao zinazidi kuwa mbovu kila siku mfano Hospitali ya Bugando Mwanza na Hospitali ya KCMC Moshi.

SOURCE: MWANANCHI MEI 23, 2013.

RITZ,
Kilimanjaro Cristian Medical Centre (KCMC) ya Moshi kufungua faili 10,000 kumuona daktari 20,000 medical check up 50,000 upasuaji wa tumbo 600,000 dawa 50,000 bado gharama ya kulazwa na Takrima! halafu Serikali inachota pesa za kodi za Wananchi toka hazina kuzipa Hospitali za Misheni!
Waislamu wakihoji why? wanakamatwa kwa uchochezi na ugaidi! huu ndio mfumo Kristo!
 
Hivi hawa waislamu wamezuiwa kuwa na taasisi zenu za kiislamu ili mpate hiyo ruzuku...mnakalia fujo na ugaidi elimu mmetupilia mbali hakika wivu ni ushetani live..Endeleeni kuifunza karate na kulipua makanisa tutakapo wachoka mtajuta

Gwakisa Mwandule,
Huenda hakuna unachojua kuhusu Uislamu na Waislamu! ila nakuomba punguza jazba na ongea kama mtu makini! ninani waliolipuwa Kanisa huko Arusha? ni Waislamu?
 
kwa nini serikali isitumie hizo pesa kujenga hospitali zake wakati wagonjwa kwenye hospitali za serikali wako hoi.
hata panadol hakuna katika hospital za serikali.
kuna nini nyuma ya pazia
kuna nini kinaendelea?
kwa hili serikali ndio chanzo cha migogoro ya kidini.

Kichekesho Serikali inachota kodi za Wananchi na kuzipa Hospitali za kile kinachoitwa Hospitali za kidini! kwanini fedha hizo wasiboreshe hospitali za Serikali kama Muhimbili? kuna ulazima gani wa kuchota fedha za Walipakodi na kuwapa Misheni huku wao hawatoi huduma bure? Waarabu wa Pemba hujuana kwa vilemba?
 
mkuu!
mfumo kristo umepitisha MOU wakati kwa waislam OIC inakataliwa, katika issue ya elimu tutapata vp elimu wakati NDALICHAKO katumwa na kanisa kuchinja waislam.
lete hoja usikurupuke.
narudia tena kwa style hii migogoro hii ya kidini haitaisha.

Si mlipewa bure yale majengo Morogoro? Au umetaka kidole sasa mwaomba mkono wote?
 
hamna cha ruzuku wala nini,
ila ni mfumo kristo tu unaendelea, serikali inapeleka ruzuku halafu hizo hospitali zinazoitwa za kidini(si za kidini ila ni za kikristo)
gharama ziko juu kuliko hata hospitali za watu binafsi.
tukiyasema haya mtaita uchochezi, eti halafu mnakaa vikao na mamluki bakwata mnataka mitafaruku ya kidini yaishe.
hayataisha hata mfanyeje!

je hizo ruzuku CAG anakwenda kukagua?

kama laa nini kinaendelea kwa pesa za walipa kodi.

Usitegemee CAG akague mahesabu ya Hospitali za Kanisa maana KANISA NI SERIKALI NA SERIKALI NI KANISA
 
Someni document hii mtapa picha kidogo
 

Attachments

  • FOURTH EDITION CCHP PLANNING GUIDELINES.pdf
    2.7 MB · Views: 933
Kichekesho Serikali inachota kodi za Wananchi na kuzipa Hospitali za kile kinachoitwa Hospitali za kidini! kwanini fedha hizo wasiboreshe hospitali za Serikali kama Muhimbili? kuna ulazima gani wa kuchota fedha za Walipakodi na kuwapa Misheni huku wao hawatoi huduma bure? Waarabu wa Pemba hujuana kwa vilemba?
Swaddakta. Ukweli utazidi kujiweka wazi pale waislamu wanapolalamikia Mfumo Kristo kuiendesha serikali kwa kodi za wote kuwanufaisha wachache
 
Duu wakristo wanaifaidi nchi,waislam hakuna hata kidispensary!waislam wanapoungana kuing'oa bakwata ni sababu kama hizi

Serikali ipo kwenye mchakato wa kutoa ruzuku kwa waganga wa kienyeji wanaouza miti shamba nje ya misikiti
 
Ndg Gwakisa sijakusoma vizuri msimamo wako kuhusu UPOGO wa fursa za ELIMU NA AJIRA baina ya waislamu na wakristo maana tafsiri yako kuhusu neno mfumo sijakuelewa. Kuhusu Kawambwa, Kikwete au Sheini kuwakandamiza waislamu hatuwezi kuwasemea. Nisaidie kidogo katika hili: Je? Unafahamu kuwa Nyerere aliwahi kuteua Padri katika nafasi ya Ubunge, Uwaziri au Baraza la MITIHANI? Kama ndiyo , unajua alilenga nini?
 
Serikali ipo kwenye mchakato wa kutoa ruzuku kwa waganga wa kienyeji wanaouza miti shamba nje ya misikiti
furahia hali hiyo ila ujue ni bomu lililotegeshwa wakati wowote litalipuka,na halitachagua nani ni nani!huko ni kuongeza marginalized extremists
 
Duu wakristo wanaifaidi nchi,waislam hakuna hata kidispensary!waislam wanapoungana kuing'oa bakwata ni sababu kama hizi

Kwan waislamu hawapati tiba ktk hizo hosp.za kikristu? Maanake mi navyojua hosp.nying za wilaya ni DDH yaani teule zinatumiwa na serikali kwa kila kitu. Na mi navyojua hosp.hizo(za dini)ndizo zinazofanya vizuri ktk huduma! Hosp.karib zote za wilaya za serikali huduma ni mbovu mno! Jarib kufanya ka-research kadogo tu kwenye hayo maeneo unayoish utanikubalia. Hata hizo zinazoitwa za Rufaa za serikali utaona zinazidiwa huduma na hata hizo za DDH. Kuna mdau mmoja alisema Agha-khan hawapewi pesa na gov.wanapewa tena nyingi tu! Hebu linganisha garama zake na hizo DDH au hosp.kama Bugando utaona tofauti. Tuacheni UDINI na ushabiki usio na tija,hizo hosp.za serikal nyingine wanaziita eti za Rufaa lkn unakuta hata Panadol au Groves hakuna!
 
Nilijua tu lazima Ritz uje kwenye huu uzi.
Upo salama ndugu yangu?
Hivi kwanini huyu naibu waziri hajazitaja hospitali zenyewe? Au anataka kuwaaminisha watu kuwa (kama alivyokuaminisha wewe) kuwa ni hospitali za "mfumo" pekee?

Kaacha bug,ili akirudi msikitini apate pa kuwapa excitements na kuwa part of them.
 
Kuepuka gharama hizo ni serikali kujenga hospitali zake na kwa wale wanaosema ni upendeleo kwa dini moja wajenge zao.

Serikali ya CCM imefilisika jamani:Waende jenga Turiani kam bwagala, machame,kibosho,ifakara,mbeya na wilaya zake, KCMC,seliani, marangu, kilema, huruma, haydom mahali unahitaji ndege kupeleka wataalamu na kuchugua wagonjwa.

bado ktk ujenzi ufisadi uendelee,barabara tuu hapa magufuli huwakoromea wachin akiswahili baada ya kukwapua hela TRA na kuwalipa.hapa tuu wilaya Hazina hutoa hela kwa kijiko.

Hao wenzetu misikiti yenyewe tuu ni fujo,wakigombania sadaka, kuna mabingwa wa kulogana ili kusimamia.Familia iliyoto akiwanja inadai ni wao, waliochangisha hivyo hivyo,wengine wanadai ni wa umma.Sjui wakiambiwa kuna dili la kujenga kam hakuna msimamizi wa wafadhili kutoka shemu yenye afadhani hakuna kitu kuisha.
 
Hivi hawa waislamu wamezuiwa kuwa na taasisi zenu za kiislamu ili mpate hiyo ruzuku...mnakalia fujo na ugaidi elimu mmetupilia mbali hakika wivu ni ushetani live..Endeleeni kuifunza karate na kulipua makanisa tutakapo wachoka mtajuta

Halfu kila wakilipua moja linajengwa zuri zaidi, na serikali dhaifu inawalipia kwa majasho ya makafiri.Kil abomu moja wanaumia zaidi roho.Hembu watusaidi yafunja yaliyochoka ili yajengwe ya kisasa.
 
Back
Top Bottom