Forecaster
Senior Member
- Nov 22, 2013
- 192
- 102
Hivi wakuu kwa hapa Dar hospitali zipi zinazikubali wanachama Wa NHIF
regency, hindu mandal ndo nnazo zifaham mm
Hivi wakuu kwa hapa Dar hospitali zipi zinazikubali wanachama Wa NHIF
SANITAS kwa Warioba MikocheniHivi wakuu kwa hapa Dar hospitali zipi zinazikubali wanachama Wa NHIF
regency,hindu mandal,kairuki,tmj.....
Una kadi ipi kwani?
Ndogo au
Kubwa?
Una kadi ipi kwani?
Ndogo au
Kubwa?
Kinondon hospital»Kwa dr mvungi,Kairuki hospital,TMJ
regency,hindu mandal,kairuki,tmj.....
regency, hindu mandal ndo nnazo zifaham mm
Hospitali kwa Dar ni nyingi sana mfano ,Regency,TMJ,Mission mikochen,Tumaini,Kinondoni,Mikumi Hospital kwa uchache haijalishi una kadi gani maana matibabu ni yale yale kwa kiwango kile kile.
Kadi za kawaida wanakubali, sio Green kards