Hapa nabishana nakilaza tu.Swali liko wapi?
Hakika hujakosea,unajua maana ya alama hizi ' ' kwny sentensi?Hapa nabishana nakilaza tu.
Nini hanzo cha moto, wagonjwa wameokolewa?Hospitali ya Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya inaungua moto muda huu. Chanzo bado hakijafahamika.
Waliopo karibu na eneo watupatie taarifa zaidi.
Source: EATV
View attachment 1566389
View attachment 1566390
View attachment 1566391
Ikumbukwe pia kwamba leo ndio siku ccm inazindua kampeni zake za uchaguzi mkuu KyelaHospitali ya Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya inaungua moto muda huu. Chanzo bado hakijafahamika.
Waliopo karibu na eneo watupatie taarifa zaidi.
Chanzo: EATV
Hakuna gari la kuzima moto , hiyo ndio laana ya ccm kyelaMkuuu sidhani kama wilaya ya Kyela ina Gari ya zimamoto. Wilaya ya Jirani Rungwe ndipo kuna zimamoto napo ni umbali wa Km 40+
Na hiyo zimamoto Rungwe imepewa juzi juzi kutoka Mkoani baada ya kuchoka sana.
hihi ndio CCM na mwakyembe wao.
Meko atawaambia serikali haijaleta moto kwa hiyo wapambane na hali zao.Hakuna gari la kuzima moto , hiyo ndio laana ya ccm kyela
zimamoto wawahi haraka kabla moto haujafika kwenye wodi za wagonjwa
Wewe unazindua lini kampeni????Ikumbukwe pia kwamba leo ndio siku ccm inazindua kampeni zake za uchaguzi mkuu Kyela
Liccm lao linafanya nini miaka yote? Badala ya kununua magari ya zimamoto wanawekeza kumuondoa Sugu. Maccm yafutike tu kwenye uso wa nchi hii, nchi iwe ya amaniGari la zimamoto litoke Mbeya! Kyela na Tukuyu hawana tujiulize Mwakyembe miaka yote amefanya nini? LET HIM GO.