Dezoizo52
JF-Expert Member
- Jan 30, 2017
- 524
- 1,051
Huyo Dr Gwajima hospital za Dodoma za serikali zimemshinda kusimamia.Sera ya afya inasema watoto chini ya umri miaka mitano matibabu ni bure,lakini leo tarehe9/2/2021 hospital ya General ya serikali nimelipia gharama ya cheti tuu kwa mtoto wa mwaka mmoja tsh15000/=.Serikali hii si ya kuiamini hata kidogo tena unalipa na wala hawana wasiwasi kwa maana ndiyo utaratibu wao kuchukua fedha kwa watoto chini ya umri wa miaka mitano.Ipo wapi hiyo hospitali nimpigie Dkt Gwajima akawaadabishe.