Hospitali ya Ocean Road na changamoto ya vifo vya wagonjwa

Too sad; poleni sana mliofikwa na haya! Hizi ni tuhuma nzito sana!!
 
Mkuu gharama ya tiba katika hospitali ile ni bure.Kuanzania kumuona daktari , dawa , mionzi mpaka kula na chakula.Au naongopa?
Mara ya mwisho umepeleka mgonjwa wako lini hapo? Vipimo vyenyewe vya hiyo kansa vingi hawana......

Kama nchi tunalo tatizo kubwa sana la namna ya kushughulikia wagonjwa wa kansa. Kuna gaps nyingi sana. Wagonjwa wengi wanakufa kwa kukosa huduma inayostahili kwa wakati.
 
Wauguzi ambao ni manesii na madaktari wa Ocean Road wanaua wagonjwa kwa makusudi.

Wagonjwa wengi wanaolazwa Ocean Road hata wakiwa hawana hali mbaya wakishalazwa Ocean Road wanazidiwa na kufa badala ya kupata nafuu.

Nimeona wodi moja gorofa ya tatu kila siku unakuta mgonjwa mmoja amekufa hata kama Jana yake alikua na hali nzuri kabisa.

Manesi wa pale hawawahudumii wagonjwa kabisa labda kama ni kuwawekea drip ya maji na damu ndio manesi wanaonekana wodini. Wagonjwa wanakaa na dawa zao wenyewe hata dawa kali ya kupunguza maumivu ya Mufin wagonjwa wanapewa wakae nazo saa ikifika wanywe wenyewe hata wagonjwa waliozidiwa hawaangaliwi kama wamekunywa dawa. Wagonjwa wanasaidiana wenyewe kwa wenyewe. Mara nyingi wagonjwa wanaanguka chooni na hata kama.anazidiwa anahudumiwa na wagonjwa wenzao manesi hawana habari kabisa.

Kwa mfano ukimuona mgonjwa wako hali sio nzuri ukienda kuwaambia manesi unafokewa kua kwa nini mgonjwa hasemi mwenyewe wakati mgonjwa mwenyewe hata kunyanyuka kitandani hawezi. Pia manesi wanawagombeza sana wagonjwa kua kwanini ndugu zao wanaenda kusema kama mgonjwa anaumwa. Hawawahudumii wagonjwa na pia hawakubaii ndugu kubaki na. mgonjwa na kama mgonjwa wako amezidiwa ukiomba nesi mmoja kua ubaki na mgonjwa wako akakubali ukabaki na mgonjwa akija nesi nwingine anakufukuza hata saa nane za usiku.

Kuna mgonjwa sasa Marehemu alikua amelazwa gorofa ya pili amezidiwa sana mwanae akaomba abaki naye mchana kwani alitundikiwa damu wakamfukuza mchana saa za kuangalia wagonjwa kuingia anakuta damu imemwagika imetapakaa chini inaelekea mgonjwa aligeuka damu ikamwagika. Chakushangaza ni kua manesi wala.daktari hawakupita wakaona hiyo hali mpaka wakati wa kuona wagonjwa ndio ndugu akaenda kuwaambia manesi. Manesi kufika wanaanza kumfokea mgonjwa ambaye hata fahamu hana.

Madaktari ndio kabisa wanapita kuwaona wagonjwa waliolazwa jinsi watakavyojisikia. Wakati mwingine inapita siku hata nine mgonjwa hajaonwa na daktari na hata mgonjwa akizidiwa tayari anaitwa haji kuona mgonjwa. Pia hata mgonjwa akipata na ugonjwa mwingine hapati matibabu sana sana atapelekwa Muhimbili.

Mgonjwa akifariki usiku au mchana wakati sio muda wa ndugu kuona wagonjwa kama wagonjwa wengine wasipoenda kuwaambia manesi, ndugu wakija asubuhi au mchana watakuya maiti hapo kitandani haijashughulikiwa. Au kama mgonjwa atakua anatapatapa katika hali ya kukata roho ndugu wakiwaambia manesi hawaji kumshughulikia mgonjwa kwa kumwekea gesi wala kumhifadhi mgojwa akikata roho. Maori zinakaa wodini kwa mass A menginbila kupelekwa mortuary. Pita hakuna intensive care care hivyo wagonjwa wanashuhudia wenzao waliozidiwa na. kukata roho mbele yao hivyo kuwafanya wagonjwa kukata tamaa.

Pale Ocean Road kila mtu ni mbabe kuanzia walinzi, manesi mpaka madaktari. Sidhani kama Ile hospital ina mkurugenzi kama angekuwepo madaktari na amnesia wangekua na woga hata ya kibinadamu.
.
Umeona wapi hospital ambayo Haitoi huduma usiku wala week-end hata wagojwa wa mionzi hawafanyiwi mionzi siku za weekend wala siku za sikukui. Usiku wala weekend hakuna.daktari wa zamu kama hospitali nyingine.

Raisi wetu kipenzi cha wanyonge mbona hospital hii iko karibu na Ikulu lakini hujaitembelea ukaongea na wagonjwa kusikiliza kero zao..

Serikali inapoteza pesa nyingi kununua mashine, dawa, kuwalipa watumishi na mambo mwingine lakini kwa makusudi manesi na madaktari wanawaua wagonjwa kwa vile wanafikiri wagonjwa wa canicer watakufa, nauliza kama ni hivyo kwa nini serikali inatumia gharama kubwa ili kuokoa maisha ya wagonjwa wa cancer.

Ushauri wangu hospital ya Ocean Road ifanyiwe overall overhaul kabisa kuanzia mkurugenzi, madaktari na. manesi hata walinzi waondolewe ili hospital ianzishwe upya kwani kwa hali ilivyo hairekebishiki hospitali imeoza kabisa.
Wagonjwa wengi wa saratani wanafika ocean road wakati ugonjwa upo hatua za juu na inakua ngumu mgonjwa kupona kabisa ugonjwa wake. Huyo mgonjwa hata akipelekwa marekani au india au nchi ingine anatibiwa kupunguza makali ya ugonjwa na kuongeza muda kuishi.

Usilaumu bila kujua huduma za kansa zinavyotolewa, mgonjwa anapewa mionzi kwa siku 5 kwa wiki na anapumzika siku 2 ambazo ni jumamosi na jumapili hlf anaanza tena jumatatu mpaka ijumaa. Hii ni kawaida duniani kote
 
Hukijui unachokisema pimbi mkubwa sana wewe nimekwambia wewe kaa subiri siku mtu wako wa karibu ama wewe mwenye uingie kwenye 18 za kansa kisha upelekwe ama umpeleke ukisha maliza kupata matibabu ya pale ndo urudi apa kutoa ama kuandika hizi pumba zako unazoendelea kuandika apa.

Tatizo kila jambo mnafikiri ni siasa haya endelea ivyo ivyo ila siku utakapo livaa hili janga ndo utaikumbuka koment yangu hii
Ugonjwa wa saratani unatibika ukiwa hatua za awali ndio maana serikali inahimiza wananchi kupima afya zao mapema ili ikigundulika mapema watibiwa na kupona

Sasa hebu sema wewe umewahi kufanya check up lini ya saratani..acha kulaumu km huna uhakika
 
Mara ya mwisho umepeleka mgonjwa wako lini hapo? Vipimo vyenyewe vya hiyo kansa vingi hawana......

Kama nchi tunalo tatizo kubwa sana la namna ya kushughulikia wagonjwa wa kansa. Kuna gaps nyingi sana. Wagonjwa wengi wanakufa kwa kukosa huduma inayostahili kwa wakati.
Acha uongo wewe..vipimo vya kugundua saratani vyote vinapatikana ocean road ukiacha kipimo cha MRI tu ambazo wagonjwa wanaweza kufanya muhimbili
 
Acha uongo wewe..vipimo vya kugundua saratani vyote vinapatikana ocean road ukiacha kipimo cha MRI tu ambazo wagonjwa wanaweza kufanya muhimbili
Mimi ni muhanga, najua ukweli kwa asilimia 100. Wiki hii narudi hapo kurudisha vipimo....tumefanya muhimbili na lancet (Dar na Nairobi). Kuna shida mkuu. Hii ni nchi yetu sote. Penye ukweli wacha usemwe kama ulivyo. Unadhani Lancet na wengineo wana survive kwa sababu gani??
 
manesi sijui wana laana gani
Ni sawa kuwatupia lawama, ila mgejua wanavyopata shida, ukute wako watatu ward nzima, anayekuja kumtoa hajafika ina bidi aendelee na shift, tena huku, malipo yake ndio hayo, ana malimbikizo ya madai chungu mbovu, akidai anayishwa!! Yeye ni binadamu, kuna mmoja niliongea naye hasa hawa wa serikalini ni wa kuonea huruma tu, kazi zina wazidia, upungufu wa watumishi ndio shida!! Mtu anaingia kazini siku tatu mfululizo usiku na mchana!! Uniambie atakuwa sawa
 
Hawa manesi mnawaonea sana. Yani hata angempakata mgonjwa hana cha kubadili kwa mgonjwa zaidi ya kile kilIchokwisha andikwa na daktari. Nesi hapigi mionzi ya matibabu, nesi haandiki dawa.
Matibabu ya cancer Tanzania yako duni, kwasababu nyingi, wataalam wabobezi hawapo, dawa hazipo ni ghali sana, vifaa havipo ni ghali sana. Mionzi ya matibabu yaani radiotherapy sio kwa kila mgonjwa jamani hata chemotherapy hivyo hivyo, hizi tiba zina vigezo vyake. X-ray,CT-scan, MRI sio tiba hizo ni diagnostic tools tu. Hizi hata ungepigwa usiku na mchana kutwa huponi kwasababu sio dawa ya ugonjwa wowote ikiwemo cancer.
Patient care ina involve vitu vingi, nafahamu tangu kuingia na mgonjwa mwanzo, diagnosis, treatment, na patient nursing. Inatia faraja ukiongeleshwa vizuri, upate dawa nzuri na uwe nursed vizuri, lakini kushitaki na kulaumu hakutaleta vyote hivyo.
Nchi yetu pekee bila msaada wa donor countries hatuwezi kutibu cancer. Dawa za cancer including mionzi na chemotherapy tuna tegemea misaada, unadhani kama hatujasaidiwa tutafanyaje?!
Nadhani tukilalamikia walinzi kujiingiza kwenye tiba ni sahihi hawahusiki wao walinde usalama wa hospitali, vifaa, wagonjwa wafanyakazi na malizao.
Ma nurse tukemee lugha mbovu hili ni nchi nzima.
Wataalamu wa radiotherapy na chemotherapy hao mnawaonea, dozi za matibabu lazima ziwe monitored na daktari anayoitoa, zingatieni wingi wa wagonjwa linganisheni uhaba wa wataalamu hao na vitendea kazi, hatuna vyakutosha. Sio kila daktari anatibu cancer, hii ina involve specialization. Dawa za misaada jamani, na MALIPO Kwa watumishi hawa ni DUNI.
Msinilaumu mimi nachangia tu, na siusiki huko natoa maoni yangu, unafiki mbaya.
 
Kiukweli hapa ndugu wananchi wenzangu yujiandae tu kisaikolojia kuumia zaidi ya hapa maana vifo vinavyotokea sasa hivi vinahuzunisha sana kwakweli. Juzi nimetoka kumuaga baba mkwe ambae alipewa rufaa toka Seriani kuja Moi kwa tatizo la Mhimbili kwa tatizo la kichwa ikaonekana anauvimbe kwenye ubongo alivyofikishwa hapo MOI, akafanyiwa upasuaji kutoa sample ya uvimbe ukapimwe. Majibu yaliyokuja sio uvimbe tena, alikuwa na kansa ya ubongo. Jana walimzika yule mzee, sijui sisi tusio na pesa za kwenda India tutaponea wapi
 
Wauguzi ambao ni manesii na madaktari wa Ocean Road wanaua wagonjwa kwa makusudi.

Wagonjwa wengi wanaolazwa Ocean Road hata wakiwa hawana hali mbaya wakishalazwa Ocean Road wanazidiwa na kufa badala ya kupata nafuu.

Nimeona wodi moja gorofa ya tatu kila siku unakuta mgonjwa mmoja amekufa hata kama Jana yake alikua na hali nzuri kabisa.

Manesi wa pale hawawahudumii wagonjwa kabisa labda kama ni kuwawekea drip ya maji na damu ndio manesi wanaonekana wodini. Wagonjwa wanakaa na dawa zao wenyewe hata dawa kali ya kupunguza maumivu ya Mufin wagonjwa wanapewa wakae nazo saa ikifika wanywe wenyewe hata wagonjwa waliozidiwa hawaangaliwi kama wamekunywa dawa. Wagonjwa wanasaidiana wenyewe kwa wenyewe. Mara nyingi wagonjwa wanaanguka chooni na hata kama.anazidiwa anahudumiwa na wagonjwa wenzao manesi hawana habari kabisa.

Kwa mfano ukimuona mgonjwa wako hali sio nzuri ukienda kuwaambia manesi unafokewa kua kwa nini mgonjwa hasemi mwenyewe wakati mgonjwa mwenyewe hata kunyanyuka kitandani hawezi. Pia manesi wanawagombeza sana wagonjwa kua kwanini ndugu zao wanaenda kusema kama mgonjwa anaumwa. Hawawahudumii wagonjwa na pia hawakubaii ndugu kubaki na. mgonjwa na kama mgonjwa wako amezidiwa ukiomba nesi mmoja kua ubaki na mgonjwa wako akakubali ukabaki na mgonjwa akija nesi nwingine anakufukuza hata saa nane za usiku.

Kuna mgonjwa sasa Marehemu alikua amelazwa gorofa ya pili amezidiwa sana mwanae akaomba abaki naye mchana kwani alitundikiwa damu wakamfukuza mchana saa za kuangalia wagonjwa kuingia anakuta damu imemwagika imetapakaa chini inaelekea mgonjwa aligeuka damu ikamwagika. Chakushangaza ni kua manesi wala.daktari hawakupita wakaona hiyo hali mpaka wakati wa kuona wagonjwa ndio ndugu akaenda kuwaambia manesi. Manesi kufika wanaanza kumfokea mgonjwa ambaye hata fahamu hana.

Madaktari ndio kabisa wanapita kuwaona wagonjwa waliolazwa jinsi watakavyojisikia. Wakati mwingine inapita siku hata nine mgonjwa hajaonwa na daktari na hata mgonjwa akizidiwa tayari anaitwa haji kuona mgonjwa. Pia hata mgonjwa akipata na ugonjwa mwingine hapati matibabu sana sana atapelekwa Muhimbili.

Mgonjwa akifariki usiku au mchana wakati sio muda wa ndugu kuona wagonjwa kama wagonjwa wengine wasipoenda kuwaambia manesi, ndugu wakija asubuhi au mchana watakuya maiti hapo kitandani haijashughulikiwa. Au kama mgonjwa atakua anatapatapa katika hali ya kukata roho ndugu wakiwaambia manesi hawaji kumshughulikia mgonjwa kwa kumwekea gesi wala kumhifadhi mgojwa akikata roho. Maori zinakaa wodini kwa mass A menginbila kupelekwa mortuary. Pita hakuna intensive care care hivyo wagonjwa wanashuhudia wenzao waliozidiwa na. kukata roho mbele yao hivyo kuwafanya wagonjwa kukata tamaa.

Pale Ocean Road kila mtu ni mbabe kuanzia walinzi, manesi mpaka madaktari. Sidhani kama Ile hospital ina mkurugenzi kama angekuwepo madaktari na amnesia wangekua na woga hata ya kibinadamu.
.
Umeona wapi hospital ambayo Haitoi huduma usiku wala week-end hata wagojwa wa mionzi hawafanyiwi mionzi siku za weekend wala siku za sikukui. Usiku wala weekend hakuna.daktari wa zamu kama hospitali nyingine.

Raisi wetu kipenzi cha wanyonge mbona hospital hii iko karibu na Ikulu lakini hujaitembelea ukaongea na wagonjwa kusikiliza kero zao..

Serikali inapoteza pesa nyingi kununua mashine, dawa, kuwalipa watumishi na mambo mwingine lakini kwa makusudi manesi na madaktari wanawaua wagonjwa kwa vile wanafikiri wagonjwa wa canicer watakufa, nauliza kama ni hivyo kwa nini serikali inatumia gharama kubwa ili kuokoa maisha ya wagonjwa wa cancer.

Ushauri wangu hospital ya Ocean Road ifanyiwe overall overhaul kabisa kuanzia mkurugenzi, madaktari na. manesi hata walinzi waondolewe ili hospital ianzishwe upya kwani kwa hali ilivyo hairekebishiki hospitali imeoza kabisa.
Safi sana na hili litafika kwa muhusika hasa Mkuu! KWa nini haya hayakuwepoo wakati wa Dr. Mkoma. alichukulia ile hospitali kama yake! Mkurugensi abadilishwe haraka sana.
 
Mkuu gharama ya tiba katika hospitali ile ni bure.Kuanzania kumuona daktari , dawa , mionzi mpaka kula na chakula.Au naongopa?
Dude your not serious kwakwel, kwaiyo kama in bure ndio watu wasitibiwe? Nibora wakatoza pesa kama wataona inafaa kuliko bure isiyo na mana...Hebu kua siriaz kidogo watu wanaongelea UHAI hapa!!
 
Mimi ni muhanga wa haya aliyoyaandika muandishi mwaka jana mwezi kama huu tarehe 5 nilimpoteza my beloved mama kwa sababu na vikwazo kama hivi alivyoviandika ndugu muandishi,

Sitaki kusema sana katika hili coz hii regime haitaki kusikia wala kuona raia wema wakikosoa utendaji mbovu wa watumishi pamoja na viongozi wake

bt nachoweza kusema iko siku ata uyo mkurugenzi ama daktari mkuu wa pale baye atapata mgonjwa wa kansa na kipindi hicho yeye hatokuwa madarakani alafu ndo atajua machungu ya kumpoteza ndugu, jamaa, baba, mama na wengine kwa sababu ya uzembe wa Nesi ama dokta mmoja Mpumbavu tena kwa maksudi kabisa.

I wish Mungu angekuwa anatoa adhabu hadharani kwa watu wanaofanya dhambi kama hizi,

Yani mtu mgonjwa wako amezidiwa kiasi hawezi kuinuka even kwenda chooni alafu anakuja Nesi mmoja mpumbavu kweli kweli anakwambia hurusiwi kubaki wodini kumuhudumia mgonjwa wako eti akiwa vibaya zaidi mgonjwa atasema mwenyewe wakati huo mgonjwa mwenyewe ata kusema wala kujigeuza hawezi sijui kujilisha atawezaje?

Serious wahudumu wengi wa pale wana ile extremly roho mbaya they don't care about maumivu waliyonayo wagonjwa.

Ila wapo wachache wenye roho ya utu na ubinadamu ambao wanatekeleza majukumu yao kwa weledi mkubwa na kwa huruma ya hali ya juu siwezi kuwa sahau manesi kama Everyn Simaga, dkt Anna mshumbusi, nesi Witness Ndibawa, dokta Migara Rwayo, nesi Magreth Simaya, dokta Tiba Ndericko na wengine wote wenye moyo wa kibinadamu na mnaojua kuwa kazi mnayoifanya ni kuihudumia jamii Mungu awaongezee busara na hekima katika maamuzi yenu ya kila siku.

Mwisho mlaaniwe wote madokta na manesi wenye roho mbaya kama sumu ya panya.
Hii itafanyiwa kazi kwani napingana na wewe unavyosema I quote "ili coz hii regime haitaki kusikia wala kuona raia wema wakikosoa utendaji mbovu wa watumishi pamoja na viongozi wake" Actually it is the opposite. Mtu ukitaka haki yako basi itafute regime hii! Ukisubiri baadae hutapata ng;ooo. Kuna wangapi wamerudishiwa nyumba zao na ingekuwa awamu zilizopita watu walichukuliwa nyumba kisa mikopa lakini jkwa utapelki watu wamerudishiwa. Sembuse watu hawafanyi kazi yao vizuri?!?!?
 
Pole sana Mkuu! mi nakumbuka mzee wangu alilazwa Kule Dom benjamini mkapa muda wote anatumia oxygen, Nesi hakai kwa wagonjwa anachumba kingine huko nje tuu, sasa ni wewe tu hapo na hali ya mgonjwa wako, Kuna siku amekuja daktari anataka kunifukuza eti yupo anasema yupo nesi atafanya hiyo kazi, nilivyo muangalia tu Usoni alitafuta majibu mengine mbona. Ila mwisho Mzee alifariki alihamishiwa ICU kule.sa Sijui na huko palikuaje. Ngoja tuamini ni Mambo ya Mungu tu
pole sana mkuu
 
Ugonjwa wa saratani unatibika ukiwa hatua za awali ndio maana serikali inahimiza wananchi kupima afya zao mapema ili ikigundulika mapema watibiwa na kupona

Sasa hebu sema wewe umewahi kufanya check up lini ya saratani..acha kulaumu km huna uhakika

Pumbavu sena wewe demu sijui jamaa unaongea uharo gani apa shenzi kabisa please nipitie mbali usije ukanisababishia ban.

Unaongea ujinga gani apa mimi nimemuuguza mama angu kwa muda wa miaka 9 since ugonjwa ukiwa low stage fala wewe na iyo time yote hospital tunampeleka ni ocean road tu so naongea ninacho kijua in and out wewe endelea kusoma vitu kwenye google alafu unakuja kujifanya wewe ni mjuaji wa kila kitu pimbi.

Ivi unajua ni kwa kiasi gani mgonjwa yeyote yule hasa wa haya magonjwa makubwa hasa kansa na HIv wanavyojiskia pindi unapo wanyanyapaa ama ushawahi kuyavumilia maumivu anayoyapata mgonjwa wa kansa aliye stage ya mwisho, unayajua maumivu yake au unaongea tu upumbavu humu jamvini ili na wewe uonekane unajua lolote kuhusu haya maswala.

Mimi naishia apa ila ndugu nakwambia cheza kote ila isije ikatokea siku ukalivaa ili jabga la huu ugonjwa maana nakuonea huruma kwa huu upumbavu unaouongea apa ila apa..

Nina experience na hosptal ya ocean road kwa kuhudhuruia pale kwa muda wa kipindi cha miaka nkiwa namuuguza marehemu mama angu mzazi yote niliyoyaongea kwenye comment zangu zote ndo hali halisi iliyopo ocean road

Nimempoteza mama angu last year pale Ocean road due tu hizi reason zote alizoziandika mleta uzi na bado millions of reasons hajaziandika zingine kifupi that hosp imeoza sana imeoza to the maximum though kuna baadhi ya madaktari na manesi wa pale wanafanya vizuri sana na wanatoa huduma vizuri i apreciate their service nadhani nisha wamention kule juu kwenye comment yangu ya kwanza.


Ila wewe mpuuzi acha ujinga ama wee ndo yule nesi ambae mwaka jana mwesi wa kumi wakati namuuguza mama ulinifukuza wodini niache kumlisha mama chakula wakati ulikuwa unamuona alivyokuwa mahuti anatumia dakk kumu kutafuna tonge moja eti ukanambia kuwa sijui kuna dokta mkuu anakuja ivyo wodini hapatakiwi kuwepo na ndugu wa mgonjwa yeyote, mse...........ng.. Kama ni wewe basi fala sana wewe na naamini mziki wangu uliuona siku ile na ukatambua kwamba si kila mtu ni mnyonge kama mnavyodangana mkiwa kwenye mawaiting room yenu na naamini tangia siku ile uliacha ile roho mbaya yako ya kichawi

Though mama angu alifariki lakini naamini juhudi zangu na harakati zangu apo zilibadirisha mengi sana na naamini pia wewe kama wewe nilikufundisha adabu pumbavu sana pathetic mkubwa.
 
Back
Top Bottom