Mr C Kauli huru
Member
- Nov 26, 2023
- 88
- 120
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza.
Ni hivi tumeenda hospitali kwa ajili ya mgonjwa wetu kusafishwa kidonda. Tumefika hospitali yani kila kitu tumenunulia duka la dawa hospitalini hakuna chochote zaidi ya manesi na madaktari kweli. Hadi visu vya kuchania nyuzi alizoshonewa ni za kununua. Wanajamii tuambizane kuhusu hili.
Ni hivi tumeenda hospitali kwa ajili ya mgonjwa wetu kusafishwa kidonda. Tumefika hospitali yani kila kitu tumenunulia duka la dawa hospitalini hakuna chochote zaidi ya manesi na madaktari kweli. Hadi visu vya kuchania nyuzi alizoshonewa ni za kununua. Wanajamii tuambizane kuhusu hili.