msafwa93
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 4,840
- 6,148
Habari zenu wakuu..
Katika hali isiyo ya kawaida,leo asubuhi nikiwa katika hospitali ya Mkoa mbeya,iliyo na majengo makubwa nimeshuhudia kitu ambacho sikukitarajia.
Nikiwa nimeenda kumpeleka ndugu yangu aloshikwa na uchungu,nikafanikiwa kukiona chumba wanacholala wajawazita,sikuamin nilipoona wanalala wajawazito wawili kwenye kitanda cha FUTI mbili,tena wale waloshikwa na uchungu.
Katika hali isiyo ya kawaida,leo asubuhi nikiwa katika hospitali ya Mkoa mbeya,iliyo na majengo makubwa nimeshuhudia kitu ambacho sikukitarajia.
Nikiwa nimeenda kumpeleka ndugu yangu aloshikwa na uchungu,nikafanikiwa kukiona chumba wanacholala wajawazita,sikuamin nilipoona wanalala wajawazito wawili kwenye kitanda cha FUTI mbili,tena wale waloshikwa na uchungu.