The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,586
- 14,138
Nawasalimu kwa jina la JMT..
Moja kwa moja kwenye mada, Hospital maarufu ya Tiba za kibingwa kwenye Moyo na kansa ya Apollo ya India inatarajia kujenga hospital Kubwa ya Tiba hapa Tanzania.
Serikali ya India imeingia Makubaliano na kampuni ya Eclipse Group of Afrika kwa ajili ya ujenzi wa hospital hiyo ya kisasa kabisa Africa nzima.
Kwa kuanzia itaanza na vitanda 60 kwa ajili ya ugonjwa wa Kansa..
Hii ndio faidia ya Kufungua Nchi na Diplomasia ya Uchumi ya Rais Samia 👇
Moja kwa moja kwenye mada, Hospital maarufu ya Tiba za kibingwa kwenye Moyo na kansa ya Apollo ya India inatarajia kujenga hospital Kubwa ya Tiba hapa Tanzania.
Serikali ya India imeingia Makubaliano na kampuni ya Eclipse Group of Afrika kwa ajili ya ujenzi wa hospital hiyo ya kisasa kabisa Africa nzima.
Kwa kuanzia itaanza na vitanda 60 kwa ajili ya ugonjwa wa Kansa..
Hii ndio faidia ya Kufungua Nchi na Diplomasia ya Uchumi ya Rais Samia 👇