Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 9,574
- 19,433
mwanamke akimzalisha mkeo hawezi kumtreat vyema na kwa usalama kuzidi mwanaume. acha wivu, utailinda wakati imeduna na kuvimba kwa mimba hata hahitaji icho kitu, akipona utachapiwa tu. yaani na tumbo la miezi 9 unaogopa atachepuka na daktari wa kiume? mnawazaga uzinzi tu maishani mwenu.kipi ni kipya alichonacho mkeo ambacho wengine hawakukiona kabla haujamuoa?Habari wana JF
Mke wangu anatarajia kujifungua siku za usoni, ni hospitali gani nimpeleke Dar es Salaam ili aweze kuzalishwa na mwanamke Mwenzake?
Msaada tafadhali.