Hospital ya vichaa

Hospital ya vichaa

kasukububu

Member
Joined
Jan 9, 2013
Posts
63
Reaction score
25
Siku moja kwenye hospital wa vichaa dokta wao alikuwa anapita ,juu ya ghorofa akamwona kichaa mmoja akikojoa ila yule kichaa alipomwona docta akaacha kukojoa na kukimbia,docha kwa kuona tukio lile akafurahi sana kwani alijua yule kichaa kapona,akamtafuta ili kumuuliza kwa nn alikimbia,mahojiano yakawa hivi
docta;wewe kwa nn umekojoa na uliponiona ukakimbia?
Kichaa;niliogopa unaweza kushika na kuvuta mkojo wa afu kikaanguka.docta hoiiiiii
 
Hii kitu mbona ya long time kipindi cha RFA cheka na Vodacom kilichokuwa kinaendeshwa na Fred Fidelis (Fredwaa)
 
Huyo kweli kichaa wako wengi hao hahaha

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Daktari wa vichaa alipita wodi ya vichaa ili kuangalia waliopata nafuu. Akatoa test akawaambia kila mmoja alie kama kuku, wengi wakaigiza kama kuku, ila mmoja alikuwa kmya kwenye kona,dokta akajua huyu huenda amepona. Akamuulza we mbona huwiki kama wenzako? Yeye akamjibu" shi shiii!! NATAGA!"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom