Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 19,641
- 14,248
Ndio nina roho mbaya sana tena sana. Wewe mwenye roho nzuri imekufanya watoto wako waache kusoma St. Kayumba kama wa kwangu mwenye roho mbaya?Mzazi wako atakua anasikitika sana kuzaa bwabwa kama wewe,Chawa lenye roho mbaya
Sisi hatukulialia kuhusu Lissu, bali alikamatwa tu na sasa anatuhimiwa kwa Kesi yenye Hukumu ya Kula Kitanzi! HAKUNA kulialia!Mjinga na mpuuzi mkubwa wewe. Badala ya kumpiga KITANZI ROSTAM AZIZI anayekuibia mpaka mitungi ya gesi wewe unashadadia mtu asiye na hatia apigwe kitanzi ? Jinga sana
Unafikiri akitiwa kitanzi ndo itakuwa ponya ya MAFISADI ?
Wale waliotajwa kumuua JPM akiwemo Jakaya nao wafanywaje punguani wewe.
Acha kulia kama mtoto mdogo, shida yenu ni kwamba mnasubiri embe lianguke chini ya mchongoma.Baada ya Mwabukusi kutoka kuongea na Rais samia, Hope ilijaa kwa wana JF kuwa soon Lisu ataachiwa.
My heart is bleeding, HOPE IS FADING AWAY!
View attachment 3461350
muulize maa yako kama naliaAcha kulia kama mtoto mdogo, shida yenu ni kwamba mnasubiri embe lianguke chini ya mchongoma.
Wanaogopa sana kumwachia wanaogopa kuliko chochoteBaada ya Mwabukusi kutoka kuongea na Rais samia, Hope ilijaa kwa wana JF kuwa soon Lisu ataachiwa.
My heart is bleeding, HOPE IS FADING AWAY!
View attachment 3461350
very sad!Wanaogopa sana kumwachia wanaogopa kuliko chochote
CCM inaharibu nchi yetu kwa kweli kwani inanunua viongozi hapa nchini.Baada ya Mwabukusi kutoka kuongea na Rais samia, Hope ilijaa kwa wana JF kuwa soon Lisu ataachiwa.
My heart is bleeding, HOPE IS FADING AWAY!
View attachment 3461350
Aachiwe kwani amemaliza kesi? Samia na Mwabukusi ndio Wana orders za kuachilia watuhumiwa wa uhalifu?Baada ya Mwabukusi kutoka kuongea na Rais samia, Hope ilijaa kwa wana JF kuwa soon Lisu ataachiwa.
My heart is bleeding, HOPE IS FADING AWAY!
View attachment 3461350
Utahisi sana Hadi kesi iishe sio Leo Wala kesho.Tundu lissu nahisi ataachiliwa mwezi wa 10 ili asiwe amefanya kampeni zozote
Utii wa sheria bila shuruti ukijifanya mwamba jela itakuhusu.CCM inaharibu nchi yetu kwa kweli kwani inanunua viongozi hapa nchini.
Kibaraka hatokuja kuwa Rais Nchi hii msipoteze Nguvu BureSwala la kumnyonga Lissu halina uhalisia kwa wale wenye kufikiria mbali, ishu ni kumzuia kushiriki huu uchaguzi, baada ya october, Lissu ataachiliwa, na kimama atajifanya kuita maridhiano akiamini uchaguz umepita na yeye ndo RAISI hadi 2030, huu ndo mkakati , iko wazi kabisa.
Tajiri mwekezaji anakuibiaje Sasa? Unadhani watu watakula maneno yenu matupu?Mjinga na mpuuzi mkubwa wewe. Badala ya kumpiga KITANZI ROSTAM AZIZI anayekuibia mpaka mitungi ya gesi wewe unashadadia mtu asiye na hatia apigwe kitanzi ? Jinga sana
Unafikiri akitiwa kitanzi ndo itakuwa ponya ya MAFISADI ?
Wale waliotajwa kumuua JPM akiwemo Jakaya nao wafanywaje punguani wewe.
Kwahiyo wewe ni Mungu? Kati yako na yeye nani kibaraka?Kibaraka hatokuja kuwa Rais Nchi hii msipoteze Nguvu Bure
LisuKwahiyo wewe ni Mungu? Kati yako na yeye nani kibaraka?
Kazi mnayo mwakahuuLisu
Kazi gani?Kazi mnayo mwakahuu