Not yetBaada ya Mwabukusi kutoka kuongea na Rais samia, Hope ilijaa kwa wana JF kuwa soon Lisu ataachiwa.
My heart is bleeding, HOPE IS FADING AWAY!
View attachment 3461350
AFADHALI IWE HIVYO...Not yet
Baada ya hapo Lissu anakula kitanzi! Tunasonga Mbele!!Ssh ni mpaka awnde ikulu kwanza
KWA KULINDA MASLAHI YAO AKINA ROSTAM NA WENZAKE, WANAWEZAHivi watamnyonga kweli?
Hapana haiwezekani mkuu, mbona huyu mama ataandamwa yeye na familia yake....usione kimya,watu mtaani they pray for Lissu aiseeKWA KULINDA MASLAHI YAO AKINA ROSTAM NA WENZAKE, WANAWEZA
Kitanzi hawezi kula mkuuBaada ya Lissu anakula kitanzi! Tunasonga Mbele!!
Prayers kama zingekuwa zinasaidia zingewasaidia watu wa Gaza kwanza. Au mnadhani Mungu yupo Tanzania tu?Hapana haiwezekani mkuu, mbona huyu mama ataandamwa yeye na familia yake....usione kimya,watu mtaani they pray for Lissu aisee
Mwabukusi na mwanasheria mwenzio hajakuuma sikio?AFADHALI IWE HIVYO...
Sawa. Sasa hivi si yupo Ubelgiji na familia yake na rafiki yake kipenzi Amsterdam? Ahahahahaha!!Kitanzi hawezi kula mkuu
Mi nakujua upo serious mkuuSawa. Sasa hivi si yupo Ubelgiji na familia yake na rafiki yake kipenzi Amsterdam? Ahahahahaha!!
Ndio maana yake. Lissu stahili yake ni kitanzi tu!Mi nakujua upo serious mkuu
SadPrayers kama zingekuwa zinasaidia zingewasaidia watu wa Gaza kwanza. Au mnadhani Mungu yupo Tanzania tu?
Mwanaye wa pekee alisema bayana kuwa ya Mungu yatatuliwe kiroho lkn ya kiserikali yatatuliwe kiserikali (ya Mungu mpe Mungu lkn ya Kaisari mpe Kaisari).
SANA NAKAA KWA WASWAHILI KILA MMOJA ANALIA NA LISUHapana haiwezekani mkuu, mbona huyu mama ataandamwa yeye na familia yake....usione kimya,watu mtaani they pray for Lissu aisee