Hongereni wazanzibar kwa miaka 50 ya mapinduzi

nani kakuambia tunakuja kujiuza zanzbar kwa sababu ya uongozi? Tunajadili mada yako juu ya uhuru wa zanzbar, we unaleta habari ya si kujiuza!! Kaa!
OK reason as a man, niambie ni taifa gani duniani lisilo na malaya despite utawala mzuri walionao? Tusichanganye mambo
Makahaba waliojaa huku znz wote hutoka tanganyika sasa sijui hawana maadili au njaa kali,
sheria za dini zikiwa vizuri vitendo hivyo hupungua ingawa nakubali huwezi maliza lakini inakuwa kidogo sana sasa ni kama fashion kila ijumaa wanawake wanaingia rundo wanazurura kwenye kumbi za starehe na mahoteli jumatatu wanarudi Dar baada ya kufanya uchafu wa kutisha wengine mpaka kwenye mitaro humohumo.
 
Nianze tu kwa kuwapongeza wazanzibar kwa tabia yao moja kuu ya ulalamikaji hasa kuhusu muungano, hii imepelekea hata serikali ya huko kuwa na adabu kwa raia wake.

Hiyo imepelekea leo tunaangalia mechi kati ya simba na ura ya uganda kwa shilingi mia tano(500) wakati wenzetu wa tanganyika hulipa mpaka elfu 60 kuangalia mechi zinazohusu mataifa mengine,ndio maana nasema hongereni mmefanikiwa sana,

Tanganyika nchi yao hawaitaki ndio maana nchi yao shamba la bibi,zanzbar kwanza.
 
Sio Miaka 50 ya Mapinduzi, ni miaka 50 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, yaliyomngoa Dhalimu Mwarabu na serikali yake ya kibaraka ya Sultan mvamizi kutoka Oman.

Na muingereza aliyevamia huku bara tunamuitaje kwa lugha yako vile??
Au ruzuku za kanisa zinapofua jicho moja!

Na unachoona ni visiwani tu! Bara kwa watawala waliotuachia misalaba mpaka kwenye nyumba za kulala wageni huwaoni sio?

Na unauitaje huu mfumo wa kuwagawia wazanzibari walio huru asilimia 4% ya fedha za misaada na asilimia 96% kubaki huku Tanganyika!
Hayo ndio matunda ya MAPINDUZI MATUKUFU??

Mi nilidhani wasukuma wote ni wapenda hakim kumbe kuna wale wenye sura mbili!??

I will take back my wrong thinking!
 
Hahahahaaaa!
Wabara nimekukubali bure mtu wangu!
...
Ulichoongea ni kweli kabisa! Zanzibar wanaroo mbaya sana! Na hawana imani na Watanganyika!
Just tusubirie rasimu!

Roho.mbaya kudai haki yako?

Roho mbaya kupangiwa posho wakati mtafutaji ni wewe mwenyewe?

Roho mbaya kulalamika kwa nini Zanzibar ipewe asilimia 4% ya pesa za ruzuku na 96% kubaki Tanganyika kushibisha matumbo ya wale walafi na wabadhilifu??

Au roho mbaya kusema muungano ulikuwa wa nyerere na karume! Na sio wa watanganyika na wazanzibari.!

Ipi hio roho mbaya??

Hebu funguka kidogo.
 
Kijana jifunze kiswahili kwanza halafu utafahamu hao wanaitwa vipi!
Mkiitwa kwenye elimu za watu wazima mnakuwa wakaidi.

Acha dharau wewe, mi ni native swahili speaker, kwani hapa ni darasani? I use colloqual swahili hapa si KIJIWENI! Haya matashdid na sarufi hayanihusu
 
Sio Miaka 50 ya Mapinduzi, ni miaka 50 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, yaliyomngoa Dhalimu Mwarabu na serikali yake ya kibaraka ya Sultan mvamizi kutoka Oman.

Umesahau pia yalileta mkoloni mweusi na kusimika ukristo na kupotezea mbali memba wa UN....hakika hongereni
 
wakati mitanganyika inapandishiwa nauli za daladala kwetu znz ni 300 tu, znz nzima imefikiwa na umeme na barabara ya lami nchi nzima. Mitanganyika iko tu inajichekesha chekesha kwa kikwete pwani mpaka leo ni pori,dar yenyewe umeme bado haujasambazwa ipasavyo,hayana maji yapo kutaka sifa tu

Tuliamua kujenga ukweni ili msiombe talaka, lakini tunaona mmekuwa kichwa ngumu. Nendeni tu...
 
Tuliamua kujenga ukweni ili msiombe talaka, lakini tunaona mmekuwa kichwa ngumu. Nendeni tu...

Ukweli gani huwoh ?hapa hakuna cha talaka wala ndoa,tunaondoka tena tunaondoka vibaya sana hata kwaheri hatutoi ,halafu tuone ni akina nani watazidi kukabana ? Karibuni visiwa vyote vidogo vidogo vimeendelea na viko mbali sana kimaisha na kimaendeleo ,hapa Zanzibar tumedumaa au tuseme tumedumazwa ,ila kama ni tope na mchanga tutavuka tu.

Hivi sasa hakuna asiejua kuwa Tanganyika kuna machafuko ya ndani ,nasema Tanganyika mpo,ingawa machafuko haya yamekuwa kama siri ya mke na mume ,ila ulimwengu sasa imeanza kuvuja ,Tanganyika rushwa imekuwa ni ajira inayongiza kipato kiurahisi ,walala hoi hamna salama ,majambazi na majangili hawaogopi tena anytime wakiamua wanafanya vitu vyao ,hakuna wa kuwashika wala kuwauliza, na hakuna dalili za kuondoka kwa mambo hayo ila ni kuongezeka na kuvuka mipaka.

Ombeni sana huu Muungano usife ila ukifa basi ndugu zetu wa Tanganyika mmeumia vibaya sana na hili halina m'badala.
 
Sio Miaka 50 ya Mapinduzi, ni miaka 50 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, yaliyomngoa Dhalimu Mwarabu na serikali yake ya kibaraka ya Sultan mvamizi kutoka Oman.
Sasa ni miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, yaliyomngoa Dhalimu Mwarabu na serikali yake ya kibaraka ya Sultan mvamizi kutoka Oman.

Pasco
 
Makahaba waliojaa huku znz wote hutoka tanganyika sasa sijui hawana maadili au njaa kali,
sheria za dini zikiwa vizuri vitendo hivyo hupungua ingawa nakubali huwezi maliza lakini inakuwa kidogo sana sasa ni kama fashion kila ijumaa wanawake wanaingia rundo wanazurura kwenye kumbi za starehe na mahoteli jumatatu wanarudi Dar baada ya kufanya uchafu wa kutisha wengine mpaka kwenye mitaro humohumo.
Hao machangu wanakuja kukusaidieni nyie, maana mmezidi Ushoga, na huna haja ya kuwalaumu hao mabinti zetu warembo, shuka kwenye boti hapa Dar, kuanzia St Joseph hadi Masaki ndugu zako mabwambwa(shoga's) wamejipanga wakijiuza na kiswahili chenu kibovu
 
Back
Top Bottom