Hongereni wamama mliofanikisha kulipa ada kwa watoto wenu wakati baba zao wako mjini wanadhurura

Mamaa Africa

Member
Mar 1, 2018
59
278
Napenda kuwapongeza sana wanawake wa nguvu walioamua kujitosa kulipia ada watoto wao huku baba zao wapo mjini wanazurura.

Niwaambie tu ninyi ni wanawake wa nguvu, endeleeni kuonesha upendo kwa hao watoto mana kuna siku mtakula matunda ya kazi ya watoto wenu.

Acheni hawa kina baba wachache wasiojali wa nyumbani kwao waendele kutojali finali uzeeni

#Kama wewe ni mmoja wao fanya kama unabisha haha

IMG-20171201-WA0021.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anaweza kufanikisha hivyo pasipo Baba watoto wake ila kuna Mwanaume aliyeweza kumfanikishia apate ada ya watoto.

Kama unabisha jifanye unajikuna.

Japo sio wote.
 
Hongera ziwafikie pia wakina Baba wanaolea watoto wao bila mama na hawana kinyongo wala hawajiuliziulizi juu ya DNA Test.
Ila kuna watu mabandiduuu yaani mwanao analipiwa ada na mahitaji mengine na mzazi mwenzio hata hujikuni wala kushtuka halafu unajiita mzazi kwa nguvu zote doh!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera ziwafikie pia wakina Baba wanaolea watoto wao bila mama na hawana kinyongo wala hawajiuliziulizi juu ya DNA Test.
Ila kuna watu mabandiduuu yaani mwanao analipiwa ada na mahitaji mengine na mzazi mwenzio hata hujikuni wala kushtuka halafu unajiita mzazi kwa nguvu zote doh!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera pia ziwaendee baba "walishi", waliooa ma single mom kwa kulipenda boga pamwe na ua na sasa wanasomesha, wakati huo ma "sperm donner" yakisikilizia fadhila za baadaye kwa watoto wao hao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilivyopata tabu mwezi huu hata siamini kama nimevuka , Baba wa mtoto hapokei wala kujibu sms. Cha ajabu akisikia mtoto kapata kazi atakuwa wa kwanza kuomba mafao.

Acha kulialia leo mtoto wetu vizuri mtoto si wetu sote kila siku nigharamikie mm tu we leo pambana afu pia isitoshe si unakumbuka nilikwambia siko tayari tupate mtoto ukangangania? Haya ndo matokeo yake sasa. Usijali lakini mwezi ujao nitatuma pesa ya matumizi


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom