Hongereni uongozi wa SUA kwa kufuta kozi za fizikia

Bongo unasoma bachelor ya physics ili uwe nani?
Badala ya kusoma bible studies, waanzishe makanisa ya kupiga hela au political science wakawe wabunge-wakapige meza makofi, jioni wanakunja 300k au diplomacy wale teuzi za mama za ubalozi mara uk, usa, japan etc, wanahangaika na physics
 
Wewe utakua hujamuelewa mtoa mada,anamaanisha hizo kozi ni zile bachelor of science with education,humo kuna Physics Math n.k.

Bongo ukiwa na bachelor ya Physics tupu TAEC hukosi.
TAEC miyeyusho walitangaza ajira kama 10 mwaka jana za watu wa BSc in physics
Lakini kozi kama Civil, Environmental, Electrical Eng wote waliruhusiwa kuomba hadi watu wa ESM
Kiufupi BSc in physics hawana Chao kama hata TAEC wanawachukulia poa
 
Haya mamutu huwa yanasikia au kazi ni kuvaa suti tu bila kujua taaluma nini maana yake?
 
Sua kuanza kuongeza makozi ya biashara, ualimu nilijua sasa kinaenda halijojo.
Yaonekana ni udhaifu wa vyuo vyote. UD nayo sasa eti inafundisha kilimo. Wasiwasi wangu ni kuanzia kwa viongozi wa vyuo hivi. Ukikutana na mmoja wa viongozi wa vyuo vyetu, usiangalie suti aliyovaa. Halafu ongea naye, mara moja unakata tamaa.

Hawajitambui. Miaka niliyosoma waziri akitumwa kuja chuoni, mara moja anakuwa na wasi wasi. Siku hizi waziri anakwenda Chuo kikuu, viongozi wa chuo wanahaha!!!!! Ni watu washenzi tu hawajitambui vichwani, wanawaponza vijana wetu.

Pale SUA mawaziri wanajibebea miche ya maembe bure tu, kama sehemu ya kujikomba.
 
Back
Top Bottom