Hongereni Tume HURU ya Uchaguzi Tanzania

Hongereni Tume HURU ya Uchaguzi Tanzania

Em tuachane na mambo ya Reform za Chadema, kwahy n serious tume imewaondoa Chadema kushiriki kisa hawajasain hizo kanuni?
 
Tume ya CCM eti ndiyo isimamie uchaguzi wa nchi - tumeshastuka.
 
Em tuachane na mambo ya Reform za Chadema, kwahy n serious tume imewaondoa Chadema kushiriki kisa hawajasain hizo kanuni?
Sio tume, ni takwa la kisheria usiposaini, umenyoosha mikono. Hata mchezo wa Mpira una kanuni za kabla ya mchezo kuanza, wakati wa mchezo na baada.
 
Tume huru kila kitu huru. Bado CHADEMA wanaogopa
huyo mme wako mwenye kofia ndiye aliewaita dodoma kusaini maadili ya uchaguzi ni uhuni wa kishamba sana CCM siasa za ushindani maji ya shingo
Screenshot_20250412_101734.jpg
 
Hakika Tume ni HURU kweli kweli. Kanuni za Maadili ya Uchaguzi zinasainiwa peupe. Tunajivunia. Tukutane site Oktoba 2025.

Tukutane Oktoba na staili hii hii ya 2020

 
Back
Top Bottom