big dreamer
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 398
- 1,061
Wanachagua watoto wenye uwezo mkubwa kuingia nao kidato cha nne.Mimi kama mdau wa elimu,,,nimependezwa na kufurahishwa na haya matokeo ya juu kabisa na ya ajabu iliyopata shule hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa ndio wababe wa St FrancisMimi kama mdau wa elimu, nimependezwa na kufurahishwa na haya matokeo ya juu kabisa na ya ajabu iliyopata shule hii.
Walikuwa na wanafunzi 70
Wanafunzi wote 70 wamepata div. One
Kupata one pekee sio ajabu sana kwenye nchi maana hata st. Fransis girls mbeya wanapata n.k n.k, Bethel Mafinga wanapata ila hawa wote wamepata div. One za single digit yani wameishia div ya point 9 tu.
Division one ya point 7 (ambao ndio ufauli mkubwa zaidi ya wote kwa maana waliopata A zote) wapo 62
Div. 1 ya point 8 wapo 5
Div 1 ya point 9 wapo wa 3
Hivyo hakuna aliepata matokeo ya point 10 na kuendelea, aisee hawa jamaa sijui wanatumia mbinu gani za kufundishia hongereni sana walimu na kongole mmliki wa shule za kemebos, mmeupiga mwingi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kukariri na kujibu maswali ni Kipaji?Hiv vipaji huwa vinapotelea wapi lakin ..?
Ununuzi wa mitihani ni kawaida kwa hizo shule za kibiasharaWatakuja watu waseme wamenunua mtihani
Nimejaribu tu kutumia lugha ya kistaarabu chief 😂😂😂.Kukariri na kujibu maswali ni Kipaji?
Mwaka huu wamepitwa na St FrancisMimi kama mdau wa elimu, nimependezwa na kufurahishwa na haya matokeo ya juu kabisa na ya ajabu iliyopata shule hii.
Walikuwa na wanafunzi 70
Wanafunzi wote 70 wamepata div. One
Kupata one pekee sio ajabu sana kwenye nchi maana hata st. Fransis girls mbeya wanapata n.k n.k, Bethel Mafinga wanapata ila hawa wote wamepata div. One za single digit yani wameishia div ya point 9 tu.
Division one ya point 7 (ambao ndio ufauli mkubwa zaidi ya wote kwa maana waliopata A zote) wapo 62
Div. 1 ya point 8 wapo 5
Div 1 ya point 9 wapo wa 3
Hivyo hakuna aliepata matokeo ya point 10 na kuendelea, aisee hawa jamaa sijui wanatumia mbinu gani za kufundishia hongereni sana walimu na kongole mmliki wa shule za kemebos, mmeupiga mwingi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda kwasababu ya idadi ya wanafunzi coz st. Fransis ilikuwa na wanafunzi 90 lakini kemebos wanafunzi 70Mwaka huu wamepitwa na St Francis
Kemebos- GPA ya 1.1024
St Francis- GPA ya 1.0799
GPA inapokua ndogo inamaanisha ufaulu mkubwa
Wakifika chuo kikuu ndio hao Mara mamiss Tanzania Mara kujirusha beach!Hiv vipaji huwa vinapotelea wapi lakin ..?
KumekuchaaaUnunuzi wa mitihani ni kawaida kwa hizo shule za kibiashara
Nipo kukazia tu!Hiv vipaji huwa vinapotelea wapi lakin ..?
Anafata Canossa nafasi ya tatu. Ya nne ilboruMwaka huu wamepitwa na St Francis
Kemebos- GPA ya 1.1024
St Francis- GPA ya 1.0799
GPA inapokua ndogo inamaanisha ufaulu mkubwa