Hongereni! ma Dr.wa TZ

rakeyescarl

JF-Expert Member
Dec 9, 2007
481
145
Nachukua nafasi kuwapongeza ma Dr. wote wanaofanya kazi Tanzania kwa sababu nyingi lakini kati ya hizo ni
1.Kufanya kazi kwenye mazingira magumu bila vifaa vya kutosha,mishahara isiyo waridhisha.
2.Kuwahudumia wagonjwa wengi kwa siku.
3.Mazingira ya kuwahudumia wagonjwa wenye magonjwa mengi yakiwa hatarishi.
4.Kutopewa shukurani na wagonjwa wanaopona.
5.Kutukanwa na wagonjwa.
6.Kudharauliwa na baadhi ya wenye pesa na kwenda kutibiwa nje hata kwa magonjwa mnayoyaweza lakini wakipata emergency wanarudi kwenu!
7.Kukubali kuwafikia wagonjwa mpaka vijijini na sehemu ambazo zinakalika !
Hongera.Hongera.Hongera.Hongera.Hongera.
:clap2:
 
Hata mie naungana na wewe kwa pongezi
Ila kuna mmoja nimemuweka moyoni mpaka leo. kwa huduma mbofu aliyonipa nikiwa mjamzito...
 
Ahsante sana mkuu............... Kwa niaba ya wote nasema tunashukuru sana kwa pongezi hizo... Mungu azidi kutupa upendo na moyo wa kuendelea kuwahudumia Watanzania
 
unadhani ni kwanini alikupa huduma mbovu?

NgumiJiwe niliumwa saa sita usiku hoi bin taaban joto limepanda vya kutosha kufika hosp Dr anasema mimba ni ugonjwa wa kawaida ..hakunishugulikia hata kidogoamelala kwenye room yake ilipofika saa 12 asubuni nikawa nimepata miscarriage
can u imagine ndugu? hivi huyu namsamehe vip?
 
Last edited by a moderator:
NgumiJiwe niliumwa saa sita usiku hoi bin taaban joto limepanda vya kutosha kufika hosp Dr anasema mimba ni ugonjwa wa kawaida ..hakunishugulikia hata kidogoamelala kwenye room yake ilipofika saa 12 asubuni nikawa nimepata miscarriage
can u imagine ndugu? hivi huyu namsamehe vip?

FirstLady1, pole sana, najua inauma sana. Alitakiwa angalau akupime, akusikilize na kujua shida ni nini
 
Last edited by a moderator:
NgumiJiwe niliumwa saa sita usiku hoi bin taaban joto limepanda vya kutosha kufika hosp Dr anasema mimba ni ugonjwa wa kawaida ..hakunishugulikia hata kidogoamelala kwenye room yake ilipofika saa 12 asubuni nikawa nimepata miscarriage
can u imagine ndugu? hivi huyu namsamehe vip?

FirstLady1, pole sana, najua inauma sana. Alitakiwa angalau akupime, akusikilize na kujua shida ni nini, kweli tunafanya kazi katika mazingira magumu lakini wagonjwa wanahitaji huduma na Faraja. In your next pregnancy please najitolea kuitwa na kuwa consulted anytime, popote nilipo! Hapa mie nasubiri mgonjwa theatre, mida hii, inachosha but we choose the job, no complaint ingawa hiyo call allowance ya elfu
20 ntaipata mwezi Wa 8. The most important thing I have managed to use my gifted hands to serve someone's life!
 
Last edited by a moderator:
FirstLady1, pole sana, najua inauma sana. Alitakiwa angalau akupime, akusikilize na kujua shida ni nini, kweli tunafanya kazi katika mazingira magumu lakini wagonjwa wanahitaji huduma na Faraja. In your next pregnancy please najitolea kuitwa na kuwa consulted anytime, popote nilipo! Hapa mie nasubiri mgonjwa theatre, mida hii, inachosha but we choose the job, no complaint ingawa hiyo call allowance ya elfu
20 ntaipata mwezi Wa 8. The most important thing I have managed to use my gifted hands to serve someone's life!
measkron God bless you so very much
unaonekana wewe ni Dr mzuri sana ..mambo yakiwa mazuri nitakwambia harooo..endelea na moyo wa upendo na kujitolea
 
Last edited by a moderator:
measkron God bless you so very much
unaonekana wewe ni Dr mzuri sana ..mambo yakiwa mazuri nitakwambia harooo..endelea na moyo wa upendo na kujitolea

Endelea kutuombea mungu atujalie kuitenda kazi hii kwa ufanisi zaidi, mungu ni mwema
 
Last edited by a moderator:
NgumiJiwe niliumwa saa sita usiku hoi bin taaban joto limepanda vya kutosha kufika hosp Dr anasema mimba ni ugonjwa wa kawaida ..hakunishugulikia hata kidogoamelala kwenye room yake ilipofika saa 12 asubuni nikawa nimepata miscarriage
can u imagine ndugu? hivi huyu namsamehe vip?

Firstlady,pole kwa yaliyokukuta.Lakini pia ifike wakati tuweze kuwatofautisha hawa wanaoitwa/wanaojiita Madaktari.Ni kweli case yako uliipeleka kwa Daktari?Manake kuna wengi wengine tu wakishavaa makoti meupe nao wanajiita Madaktari.Inawezekana huyo jamaa alikuwa incompetent ndiyo maana akadhani labda ulikuwa na routine problems za mimba na siyo early complications of pregnancy.
Ikitokea wakati mwingine kwako au kwa yeyote unayemfahamu,jitahidi kuipeleka case kwa Daktari wa kina mama(Gynecologist/Obstetrician),na siyo kwenda kwenye hospitali za uchochoroni/primary care physician
Pia hakikisha wakati wa ujauzito uwe umefanyiwa a thorough medical check up walau ndani ya wiki nne za mwanzo,uwe pia kwa kila mwezi unafanya prenatal visit kwa wataalam,ili kama kuna tatizo liweze kugunduliwa mapema.
 
Firstlady,pole kwa yaliyokukuta.Lakini pia ifike wakati tuweze kuwatofautisha hawa wanaoitwa/wanaojiita Madaktari.Ni kweli case yako uliipeleka kwa Daktari?Manake kuna wengi wengine tu wakishavaa makoti meupe nao wanajiita Madaktari.Inawezekana huyo jamaa alikuwa incompetent ndiyo maana akadhani labda ulikuwa na routine problems za mimba na siyo early complications of pregnancy.
Ikitokea wakati mwingine kwako au kwa yeyote unayemfahamu,jitahidi kuipeleka case kwa Daktari wa kina mama(Gynecologist/Obstetrician),na siyo kwenda kwenye hospitali za uchochoroni/primary care physician
Pia hakikisha wakati wa ujauzito uwe umefanyiwa a thorough medical check up walau ndani ya wiki nne za mwanzo,uwe pia kwa kila mwezi unafanya prenatal visit kwa wataalam,ili kama kuna tatizo liweze kugunduliwa mapema.

Alikuwa ni Dr kabisa na wala si mganga au nesi na hosp ilikuwa kubwa ndugu yangu am serious

Mwenyewe huwa namshangaa nikimwangalia ….
 
Alikuwa ni Dr kabisa na wala si mganga au nesi na hosp ilikuwa kubwa ndugu yangu am serious

Mwenyewe huwa namshangaa nikimwangalia ….
Pole sana mpendwa, as a mother I feel what you went thru! Next time mungu atujalie uzima look for we gynecologist, tutatoa msaada unaohitajika popote upate huduma ingawa ni haki ya kila binadamu kupata huduma wengine wanasahau na kukiuka maadili. Naomba umsamehe the lord will lead the way
 
Back
Top Bottom