Scolari Ndenga
JF-Expert Member
- Aug 4, 2008
- 271
- 43
Kwa habari niliyoiona ITV ambapo mwenyekiti wa BAVICHA taifa na Katibu mkuu wa baraza hilo wakichagizwa na Mh. John Mnyika na Tundu Lisu kwa kuendelea kujiimarisha Chuo kikuu cha Mzumbe, nalazimika kuwapongeza viongozi hawa.
Kama nilivyoona, katibu wa BAVICHA amedai kiburi cha serikali juu ya mgomo wa madaktari nchini ni matokeo ya kukosekana kwa Uadilifu, uzalendo wa viongozi weu huku Mnyika akitaka rasilimali za taifa zitumike ipasavyo kuondoa matatizo kama hayo
Kama nilivyoona, katibu wa BAVICHA amedai kiburi cha serikali juu ya mgomo wa madaktari nchini ni matokeo ya kukosekana kwa Uadilifu, uzalendo wa viongozi weu huku Mnyika akitaka rasilimali za taifa zitumike ipasavyo kuondoa matatizo kama hayo