Hongera Waziri Ummy Mwalimu kwa mkakati mpya wa kupambana na COVID19

Ukichanganya kilichozungumzwa hapo utaona bado kuna tatizo. Mengi ni kutibu na machache ni ya kujikinga. Na bado hatujaoneshwa mashine ngapi za usaidizi wa kupumua zinahitajika na zipo ngapi.

Utoaji taarifa sahihi pia halijazungumzwa
 
Niliongelea maambukizi ya corona.
je inasaidia nini kujua idadi ya wagonjwa wa COVID19? kama tu wanaoambukizwa HIV huwa hatupewi briefing iweje mtake hiyo COVID19? Je umesikia USA Drs wanalazimishwa kuandika COVID19 kama sababu ya kifo hata kama chanzo ni kisukari?
 
Kipengele no 5 ni dhahiri serikali imeshazidiwa na wagonjwa,kuwaacha watu wenye dalili za corona majumbani ni hatari,

Huwezi mwacha mgonjwa nyumbani umwambie aji isolate mwenyewe,huu ugonjwa wagonjwa wanatabia yakuzidiwa ghafla,hivi akizidiwa nyumbani atapataje tiba ya dharula?

Nashauri ni bora kama tatizo ni pesa basi simamisheni miradi mikubwa tupambane na corona,stiglers na reli ya mwendokasi vingesubiri.

Mh Magufuli wewe ni jembe hasa lakini kwenye corona serikali bado haijatoa uzito unaolingana na tatizo.

Leo tunawezajigamba kwamba hatuifungi dar lakini hali itakapokuwa mbaya hakika dar itajifunga yenyewe.

Mwanzo tuligoma kabisa kutofunga usafiri wa ndege kwa safari za kimataifa,nini hatma ya misimamo yetu leo?
 
Ukichanganya kilichozungumzwa hapo utaona bado kuna tatizo. Mengi ni kutibu na machache ni ya kujikinga. Na bado hatujaoneshwa mashine ngapi za usaidizi wa kupumua zinahitajika na zipo ngapi.

Utoaji taarifa sahihi pia halijazungumzwa
Taarifa sahihi za nini???? Kwenye kujikinga hapo ok
 
Shida inaanzia kwa yule.jamaa aliyekaa na vyombo vya ulinzi na usalama....
 
Hii mikakati yote ilitakiwa iwe mapema kabla ya ugonjwa kuenea kama ilivyo sasa

Sent using kidole gumba
 
Mkuu unajua maana ya pandemic disease? Huwezi ukaifananisha cancer na H I V kama pandemic wakati umeambiwa Corona ni pandemic na tunatakiwa tuukabili ugonjwa seriously na kwa kiwango cha fast kupunguza maambukizi na vifo kwa muda huo huo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
je inasaidia nini kujua idadi ya wagonjwa wa COVID19? kama tu wanaoambukizwa HIV huwa hatupewi briefing iweje mtake hiyo COVID19? Je umesikia USA Drs wanalazimishwa kuandika COVID19 kama sababu ya kifo hata kama chanzo ni kisukari?
Huna hoja, hata WHO sasa hivi wana tanga za idadi ya waathirika na vifo vya corona. Kwanini hawaamki kila siku na kutangaza takwimu za malaria na HIV?
 
Omba msamaha faster, nakuona unavyohangaika, very soon naanika uchafu wako. Kama hatuna briefing ya maambukizi ya HIV basi si muhimu covid19
 
Dr ulimboka alikuwepo mtu
 
Huna hoja, hata WHO sasa hivi wana tanga za idadi ya waathirika na vifo vya corona. Kwanini hawaamki kila siku na kutangaza takwimu za malaria na HIV?
Sky Eclat usipende kukariri, ni upumbavu kutangaza maambukizi ya COVID19 wakati kuna magonjwa mengine mengi huwa hatutangazi.
 
Dr Elisha Osati nikuulize: Je una habari kuwa kuna wahudumu wa afya wanaopewa mask za vitambaa? Je ni sahihi kufanya hivyo? Je waliotoa mask za vitambaa je wamekiuka utaratibu? Je watachukuliwa hatua zozote? Vinginevyo mtakuwa mnatia doa ushauri mzuri wa Rais wetu.
 
Huna hoja, hata WHO sasa hivi wana tanga za idadi ya waathirika na vifo vya corona. Kwanini hawaamki kila siku na kutangaza takwimu za malaria na HIV?
WHO siyo baba yetu wala mama yetu tufuate kila wanachofanya,sisi ni nchi huru inayojitegemea bi dada Sky Eclat
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…