Ndukidi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2012
- 1,498
- 1,297
@
Sky Eclat sidhani kama unahitaji kujua idadi ya wagonjwa wa Malaria au STD, same goes to COVID19. Kuhusu oxygen ni sawa, maana huo ni mkakati.
Kwa kukataa kwako kupata taarifa inaonyesha ni jinsi gani wewe sio mtu wa kutaka kujua na kujifunza, nakushaurii usome ujue tofauti ya epidemic, world epidemic, pandemic.