AMEN,most welcome!
Karibu Mdau
Kwa siku nyingi nimekuwa nikifuatilia JamiiForums topics kama mgeni leo nimejiunga rasimi na JamiiForums community.
Kwa kweli community hii inasaidia sana kutupa ukweli wa mambo hasa kwa mimi ambaye sipo Tanzania kwa sasa.
Nawapa big up, Mungu azidi kuwalinda ili tukamilishe ukombozi wa mtanzania.
Kwa siku nyingi nimekuwa nikifuatilia JamiiForums topics kama mgeni leo nimejiunga rasimi na JamiiForums community.
Kwa kweli community hii inasaidia sana kutupa ukweli wa mambo hasa kwa mimi ambaye sipo Tanzania kwa sasa.
Nawapa big up, Mungu azidi kuwalinda ili tukamilishe ukombozi wa mtanzania.
Kwa siku nyingi nimekuwa nikifuatilia JamiiForums topics kama mgeni leo nimejiunga rasimi na JamiiForums community.
Kwa kweli community hii inasaidia sana kutupa ukweli wa mambo hasa kwa mimi ambaye sipo Tanzania kwa sasa.
Nawapa big up, Mungu azidi kuwalinda ili tukamilishe ukombozi wa mtanzania.
Karibu ktk jukwaa letu la umbea na udaku! hapa utapata habari zote za nimesikia!, kuna habari!, inasemekana!, na kuna tetesi kuwa masanduku ya kura yamekamatwa mpakani mwa TZ na Zambia!! au pia unaweza kupashwa habari za kuvuja kwa Siri za Serikali au nusu ya Usalama wa Taifa hushirikiana na Kiongozi mmoja muandamizi wa upinzani! wakati huo huo Usalama wa Taifa huisaidia Chama Tawala kuiba kura!!!
Karibu ndugu ktk jukwaa la kusifia CDM tu! hiki ni chama safi kabisa! tena kiko juu, juu, juu zaidi!!! na ole wako ujaribu kuponda hiki chama kwa hoja! matokeo yake utayaona mwenyewe baada ya ujumbe wangu!! angalia jinsi hawa mashabiki watakavyonishambulia!!!!
Kwa siku nyingi nimekuwa nikifuatilia JamiiForums topics kama mgeni leo nimejiunga rasimi na JamiiForums community.
Kwa kweli community hii inasaidia sana kutupa ukweli wa mambo hasa kwa mimi ambaye sipo Tanzania kwa sasa.
Nawapa big up, Mungu azidi kuwalinda ili tukamilishe ukombozi wa mtanzania.