Hongera Vyombo vya Usalama Tanzania

Hongera Vyombo vya Usalama Tanzania

Ni weeek Sasa Toka Jeshi la Polisi likiongozwa Na Afande IGP C Wambura kudhibiti Mipango ya Kigaidi iliyopangwa na Raia wa Kenya waliongia nchini kwa kigezo cha kufwatilia Kesi ya Uhaini ya Ndg Lissu.

Taarifa za Ndani zinadai Taasisi ya Ford Foundation ikiwatumia wanaharakati wa Kenya ilipanga Jaribio kubwa la kufadhili vijana kuchoma Mahakama na Vituo vya Polisi Nchini.

Uimara wa Jeshi la Polisi na kunusa Hatari ilibaidi Mwanaharakati Mkenya Alikua alishawishi wafuasi wa Chama fulani kutekeleza uhalifu mkubwa nchini ili nchi isitawalike

Tunaendelea kutoa Moyo na ushirikiano kwa Jeshi letu na wakati Huu Tunaomba watuachie Hao Wanaharakati tudeal nao kihuni ili wakurudi kwao wajue Tanzania sio Kenya .

Vijana wazalendo Tupo Tayari Kulinda Nchi yetu kwa gharama yeyote.


GM

😂😂😂😂😂😂
 
Vichekesho kweli.

Vyombo vya usalama unavyotueleza vinuse eti Martha Karua ni mhalifu kutoka Kenya halafu vishindwe kunusa kwa miezi 8 sasa waliomuua mzee Kibao.?

Common sense is not common.
 
Hivyo walivyomdunda inatosha,najua hana hamu,siku tatu tu kakonda
Na bila shaka kwa elimu ya maneno na vitendo aliyopewa na vyombo vyetu vya usalama hatokaa ajihusishe tena na jambo lolote linalohusu Tanzania na pia ni funzo kwa wengine kutojaribu kuchezea amani ya TZA.
 
Vichekesho kweli.

Vyombo vya usalama unavyotueleza vinuse eti Martha Karua ni mhalifu kutoka Kenya halafu vishindwe kunusa kwa miezi 8 sasa waliomuua mzee Kibao.?

Common sense is not common.
Kuna baadhi ya ripoti za uchunguzi ambazo yatakiwa zibaki ikulu kwa sababu maalumu hadi muda muafaka ufike!
Kwa mfano vyombo vyetu vya kiusalama vikileta ripoti kuwa Mzee Ally Kibao
( Allaah amrehemu ) aliuawa na watu waliotumwa na John Heche Makamu mwenyekiti wa sasa wa chadema utakubali?!
 
Ukiwa kijana alafu mfuasi wa sisiemu lazima uwe na utaahira tu bila ivo huwezi kuwa pamoja nao
 
Ni weeek Sasa Toka Jeshi la Polisi likiongozwa Na Afande IGP C Wambura kudhibiti Mipango ya Kigaidi iliyopangwa na Raia wa Kenya waliongia nchini kwa kigezo cha kufwatilia Kesi ya Uhaini ya Ndg Lissu.

Taarifa za Ndani zinadai Taasisi ya Ford Foundation ikiwatumia wanaharakati wa Kenya ilipanga Jaribio kubwa la kufadhili vijana kuchoma Mahakama na Vituo vya Polisi Nchini.

Uimara wa Jeshi la Polisi na kunusa Hatari ilibaidi Mwanaharakati Mkenya Alikua alishawishi wafuasi wa Chama fulani kutekeleza uhalifu mkubwa nchini ili nchi isitawalike

Tunaendelea kutoa Moyo na ushirikiano kwa Jeshi letu na wakati Huu Tunaomba watuachie Hao Wanaharakati tudeal nao kihuni ili wakurudi kwao wajue Tanzania sio Kenya .

Vijana wazalendo Tupo Tayari Kulinda Nchi yetu kwa gharama yeyote.


GM
Ficha kidogo ujinga wako.
 
Ni weeek Sasa Toka Jeshi la Polisi likiongozwa Na Afande IGP C Wambura kudhibiti Mipango ya Kigaidi iliyopangwa na Raia wa Kenya waliongia nchini kwa kigezo cha kufwatilia Kesi ya Uhaini ya Ndg Lissu.

Taarifa za Ndani zinadai Taasisi ya Ford Foundation ikiwatumia wanaharakati wa Kenya ilipanga Jaribio kubwa la kufadhili vijana kuchoma Mahakama na Vituo vya Polisi Nchini.

Uimara wa Jeshi la Polisi na kunusa Hatari ilibaidi Mwanaharakati Mkenya Alikua alishawishi wafuasi wa Chama fulani kutekeleza uhalifu mkubwa nchini ili nchi isitawalike

Tunaendelea kutoa Moyo na ushirikiano kwa Jeshi letu na wakati Huu Tunaomba watuachie Hao Wanaharakati tudeal nao kihuni ili wakurudi kwao wajue Tanzania sio Kenya .

Vijana wazalendo Tupo Tayari Kulinda Nchi yetu kwa gharama yeyote.


GM
Unaweza kuwa chizi lakini anayeku support anakuwa chizi zaidi yako
 
  • Dislike
Reactions: UCD
Ni weeek Sasa Toka Jeshi la Polisi likiongozwa Na Afande IGP C Wambura kudhibiti Mipango ya Kigaidi iliyopangwa na Raia wa Kenya waliongia nchini kwa kigezo cha kufwatilia Kesi ya Uhaini ya Ndg Lissu.

Taarifa za Ndani zinadai Taasisi ya Ford Foundation ikiwatumia wanaharakati wa Kenya ilipanga Jaribio kubwa la kufadhili vijana kuchoma Mahakama na Vituo vya Polisi Nchini.

Uimara wa Jeshi la Polisi na kunusa Hatari ilibaidi Mwanaharakati Mkenya Alikua alishawishi wafuasi wa Chama fulani kutekeleza uhalifu mkubwa nchini ili nchi isitawalike

Tunaendelea kutoa Moyo na ushirikiano kwa Jeshi letu na wakati Huu Tunaomba watuachie Hao Wanaharakati tudeal nao kihuni ili wakurudi kwao wajue Tanzania sio Kenya .

Vijana wazalendo Tupo Tayari Kulinda Nchi yetu kwa gharama yeyote.


GM
Acha waendelee kunyoshwa lakini pia wasisahau kuwanyoosha wasaliti wa humu ndani kama Rais alivyosema.
 
Back
Top Bottom