Desteo
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 494
- 123
Muungano hautavunjika moja kwa moja. Hapo cdm kwa majaliwa ikishika Dola itaanzisha serikali 3. Napo wazanzibari wakizingua ndipo Muungano unakufa kabisa. Itawagharimu sana wazanzibari walioko Bara kwani itabidi waanze upya mchakato wa aidha kurudi kwao ama kuomba vibali ya kuishi Bara.