Open-Minded
JF-Expert Member
- Mar 17, 2013
- 278
- 165
Najua hili ni jukwaa la siasa lakini hatuna budi kuipongeza Taifa Stars kwa ushindi ilioupata dhidi ya timu ya taifa ya Morocco (Tanzania 3 - 1 Morocco).
Tukumbuke angalau huu ndo upande unaotuunganisha watanzania kwa pamoja hivi sasa na ni habari njema tumepiga hatua moja mbele. Tuwape moyo vijana wetu tuondoe sihasa huku zisije zikaharibu kila kitu.
MUNGU IBARIKI TANZANIA
Tukumbuke angalau huu ndo upande unaotuunganisha watanzania kwa pamoja hivi sasa na ni habari njema tumepiga hatua moja mbele. Tuwape moyo vijana wetu tuondoe sihasa huku zisije zikaharibu kila kitu.
MUNGU IBARIKI TANZANIA