Hongera Sugu kwa kazi nzuri

Hongera Sugu kwa kazi nzuri

Joined
Sep 27, 2012
Posts
32
Reaction score
9
Jiji la mbeya sasa barabara zote zinapitika achiliambali za world bank barabar zote za jiji zimesindiliwa kifusi safi na hakuna matatizo ya magari kukwama tena kama brock T ,mama john, sae, nk na huu ni mwanzo tu
 
Asante kwa kuliona hilo,kwa sisi wakazi wa green city hatusubiri kuambiwa alichofanya mbunge ,vitu vinaonekana siyo mpaka mtu ajue sana kuongea siasa rubunifu!
 
Kiongozi aliechaguliwa na wananchi anawajibika kwa wananchi,binafsi nampongeza Sugu na wanacdm wasio vigeugeu
 
ila jana ameharibu kwa kumtukana mkuu wa wilaya ndani ya mkutano na tena mbele ya kamera
 
ila jana ameharibu kwa kumtukana mkuu wa wilaya ndani ya mkutano na tena mbele ya kamera
Mkuu wa Wilaya ni kada wa chama tawala akileta biasness anatukanwa kama kawa. Au kama huyo DC ni ndugu yako msikilizishe ule wimbo wa SUGU MOTO CHINI...

Zitto na masalia wenzake huwa hawapendi kabisa kusikia wabunge wengine wa CDM wana-shine namna hii, wataibuka sasa hivi...
 
Ni kweli Kamanda sugu anajitahidi kufuatilia maendeleo ya wananchi.Ninamshauri aepukane na siasa za makundi,pia aongeze uvumilivu wa kisiasa kwani ni changamoto kubwa kuwa upinzani.
 
Jiji la mbeya sasa barabara zote zinapitika achiliambali za world bank barabar zote za jiji zimesindiliwa kifusi safi na hakuna matatizo ya magari kukwama tena kama brock T ,mama john, sae, nk na huu ni mwanzo tu
Nipe taarifa ya mbunge wa kwenu ulikozaliwa!
 
mateule yote ya ccm hayapendi kuona cdm inafanya vizuri,kwa mfano polisi wakuu wa mikoa wa wilaya nk sasa dawa yao sio kutukanwa tu bali kupigwa ili waache wananchi wapate maendeleo.mbunge anafikiria wapiga kura wake wao wanawaza matumbo yao na familia zao .na bado
 
Hongera serikali ya ccm kwa kutekeleza ahadi za kuweka barabara za mbeya kuwa safi na kiwango cha rami na changarawe......
 
Hongera serikali ya ccm kwa kutekeleza ahadi za kuweka barabara za mbeya kuwa safi na kiwango cha rami na changarawe......

Ila uliza mbona jimbo flani la Chadema halina maji, utakachoambiwa kwani yeye mbunge ndo anakusanya kodi!
 
Asante kwa kuliona hilo,kwa sisi wakazi wa green city hatusubiri kuambiwa alichofanya mbunge ,vitu vinaonekana siyo mpaka mtu ajue sana kuongea siasa rubunifu!

kafanyaje sugu? kaleta wafadhili kujenga barabara,kaongoza maandamano hadi barabara zime jengwa?
 
Sugu jana kaonyesha ujinga wake kamtukana mkuu wa wilaya.
 
Back
Top Bottom