Sanctus Mtsimbe
R I P
- Jul 14, 2008
- 1,820
- 1,031
Hongera sana kaka umetutoa kimasomaso!!!
Tatizo la wasomi wengi wa TZ ni waoga mno wa changamoto. Ndo maana wamekalia kulialia tu na kuwaona wengine kama wa-Kenya kuwa wako juu yetu. Afadhali Bw. Mtsimbe umewaonesha njia wasomi wengine!! Naamini humo kulikuwa na wa-Kenya, waganda, n.k lakini umewabwaga. Wasomi wengine igeni huo mfano msiogope kuomba kazi kubwa kubwa kwa kujishusha utafikri hamjaenda shule!!
Always it pays to have a trained person!!
Hongera sana bro. kachape kazi na uache porojo za wa-TZ.
Asante sana Job K.
Nasaha zako nitazizingatia Mkuu.