Binafsi nitoe shukrani zangu za dhatI kwa NMB kwa kazi nzuri wanayofanya kwa kuwahudumia wananchi. NMB imekuwa mstari wa mbele kwa kutoa gawio nzuri kwa wanahisa wake. Mwaka huu wametoa Tshs.428 kwa hisa moja kiasi ambacho hakijawahi kutokea. Pongezi hizi zimwendee CEO wa NMB Mama Zaipuna. Hongera sana CEO kwa uongozi uliotukuka kwa kuifanya NMB kuongoza Mabenki yote kwa kutoa gawio iliyo kubwa.
Naishauri Mabenk mengi yaige mfano wa NMB na hasa jirani zenu CRDB wajitahidi kutoa gawio inayotosheleza. HONGERA SANA NMB.
Naishauri Mabenk mengi yaige mfano wa NMB na hasa jirani zenu CRDB wajitahidi kutoa gawio inayotosheleza. HONGERA SANA NMB.