sasa hivi hapatikani tena jf!anachungulia tu.yupo bize sana na biznecShida moja ya kijiwe hiki ni wale wanaokosa kwa kuweka vitu vyao vya zamani wana kuja kuviacha kwako!
Baada ya mwaka tumtembelee tuone alivyojikusanyia spea!
But congrats mkuu kaiza Mkono mtupu aulambwi
CHEKA MAMA!maisha yenyewe yako wapi ya kisirani
mpwaaz ndo ametoka hivyo
HAHAHAHA!mwaka wa biashara huu bana