Hongera Samia, umezungumza kama RAIS, AMIRI JESHI na MZALENDO

Hongera Samia, umezungumza kama RAIS, AMIRI JESHI na MZALENDO

ubongokid

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2017
Posts
2,261
Reaction score
4,443
Sisemi mengi;
Kwa kauli yako mwenyewe umethibitisha kwamba Taifa letu liko imara na hakuna atakayeleta nywinywi,nywinywi wala nywinywinywi.

Sasa nafikiri Tuendelee kuijenga nchi. Bila kujali iwapo umeingia kwa njia ya kura halali au haramu wewe ndio Mkuu wa nchi kwa sasa.Hata kama wewe ni Dictator,Totalitarian,Authoritarian au Jina lolote watakalochagua kukupa mpaka utakappofanyika uchaguzi mwingine,

Tupo wengi ambao hatukabaliani na baadhi ya mambo kama vile kumteua Mkweo na Mwanao na Mashosti zako kwenye baraza la mawaziri ila pamoja na hayo tunaamini kwamba Jamhri lazima isimame.

Kwa misingi hiyo basi shikilia hapo hapo na kwa sasa hivi hakikisha hata internet haizimi ili tuone show nzima live na media zireport live na maiti zao wapewe wazizike ila anayeleta chokochoko tumuone akishughulikiwa
 
on saturday i got a little accident , lost my stuffs. so am kindly offline _20251127_132017_0000.png
 
Sisemi mengi;
Kwa kauli yako mwenyewe umethibitisha kwamba Taifa letu liko imara na hakuna atakayeleta nywinywi,nywinywi wala nywinywinywi.

Sasa nafikiri Tuendelee kuijenga nchi. Bila kujali iwapo umeingia kwa njia ya kura halali au haramu wewe ndio Mkuu wa nchi kwa sasa.Hata kama wewe ni Dictator,Totalitarian,Authoritarian au Jina lolote watakalochagua kukupa mpaka utakappofanyika uchaguzi mwingine,

Tupo wengi ambao hatukabaliani na baadhi ya mambo kama vile kumteua Mkweo na Mwanao na Mashosti zako kwenye baraza la mawaziri ila pamoja na hayo tunaamini kwamba Jamhri lazima isimame.

Kwa misingi hiyo basi shikilia hapo hapo na kwa sasa hivi hakikisha hata internet haizimi ili tuone show nzima live na media zireport live na maiti zao wapewe wazizike ila anayeleta chokochoko tumuone akishughulikiwa
1764680884412.png
 
Hotuba ya Leo ndio hotuba Bora kuwahi kutolewa na Rais yeyote duniani
Mods Active Maxence Melo mbona mnamuacha huyu jamaa atumie avatar picha yangu ya Maghayo? Mmeni restrict kwenye ID yangu ya maghayo siwezi kucomment wala kulike. Sasa huyu mpuuzi anatumia avatar yangu na members wanadhani ni mimi maghayo mwenyewe kwa upuuz wake. Please mods mpigeni ban tena ama abadilishe hiyo avatar.
 
Enhee hiki ndiko bora mlichoweza kuja nacho baada ya kukaa kushauriana kwa mwezi mzima?

Hata baada ya kuunda tume fake hamjataka kusubiri ilete majibu, mmeona mrukie conclusion. Tumewasoma humu kila leo mkitaka Rais asiwabembeleze watu, awaburuze.

Watu wanataka haki na uwajibikaji utendeke, ni ngumu kiasi gani hili kueleweka.

Hatutaki kubebelezwa, uhusiano wetu sio wakimapenzi.
 
Mods Active Maxence Melo mbona mnamuacha huyu jamaa atumie avatar picha yangu ya Maghayo? Mmeni restrict kwenye ID yangu ya maghayo siwezi kucomment wala kulike. Sasa huyu mpuuzi anatumia avatar yangu na members wanadhani ni mimi maghayo mwenyewe kwa upuuz wake. Please mods mpigeni ban tena ama abadilishe hiyo avatar.
Samahani mkuu kama nimekukwaza , picha nilitoa mtandaoni na sasa nimebadilisha .

Kama Kuna kosa tena naomba nifahamishwe mods

Cc : Active Maxence Melo
 
Leo mama kanyoosha,sio kinyonge! Kuna muda ili mambo yaende lazima maamuzi magumu yafanyike..!
 
Leo nimeskia hotuba ya Rais niliyempigia KURA. Hakika kura yangu haikwenda bure.
Thank you Rais wetu Dr Samia Suluhu Hassan 🇹🇿
Mimi nimeiDownload nisikilize kila siku.

Ameupiga kama Putin vile , nilikuwa namchukulia poa kama kiongozi dhaifu ila Leo nimempa vyeo vyote.

Hotuba yake inafaa kutumika kunfundishia maVyuoni
 
Mgawanyiko unalazimishwa kwa giant zote
 
Mods Active Maxence Melo mbona mnamuacha huyu jamaa atumie avatar picha yangu ya Maghayo? Mmeni restrict kwenye ID yangu ya maghayo siwezi kucomment wala kulike. Sasa huyu mpuuzi anatumia avatar yangu na members wanadhani ni mimi maghayo mwenyewe kwa upuuz wake. Please mods mpigeni ban tena ama abadilishe hiyo avatar.
Kwani Avatar hiyo ulitengeneza mwenyewe?
 
Leo mama kanyoosha,sio kinyonge! Kuna muda ili mambo yaende lazima maamuzi magumu yafanyike..!
Kabisa , maana walianza kumpanda kichwani walimuona mnyonge alijishusha bado hawaridhiki sasa kipigwe tu .

Ukimchea mtu sana anakupanda kichwani , mtu na account Jf au IG anajiona kama mkuu wa Majeshi wa nchi kuwa apange anavyotaka.

Na kwenye maamuzi magumu hakuna kurudi nyuma , ukilegea wanakuona wanakuweza.
 
Inabidi tusameheane tujenge nchi ila kama hutaki kusamehe utalazimishwa.
 
Back
Top Bottom